MOREMI2006
JF-Expert Member
- Sep 10, 2021
- 551
- 548
Unaandika upuuzi hapo ulipo ww kula ukalale tu ndio akili yako imeishia hapoSiri gani? Kama Ni jeshi la kidwazi tutajuaje na sisi ndo wakuliboresha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaandika upuuzi hapo ulipo ww kula ukalale tu ndio akili yako imeishia hapoSiri gani? Kama Ni jeshi la kidwazi tutajuaje na sisi ndo wakuliboresha
Mkuu huo.mfumo bei kali sanaaPoleni na majukumu wakuu
Naomba kuuliza,kwenye hii vita inayoendelea huko ulaya,tunaona jinsi wenzetu wa Ukraine wanavyojitahidi kuzidungua ndege za Russia na kuzuia baadhi ya makombora kwa kutumia mfumo wao wa ulinzi wa anga.
Hivi sisi hapa kwetu tunayo air defence system, na kama tunayo ni ya aina gani?
HahahaHakuna zaidi ya Laptop mbili za DELL na radar used.
Si Kuna kwa mujibu now days mkuuIla taifa Lina chakujifunza hapa,ni vizuri taifa ka taifa tukawa tuna utamaduni wa kuhahakikisha kila mtu anajua kutumia bunduki vizuri,si mnaona Vita vikitokea wote tunakuwa wanajeshi,kuliko kusubiria vita then una mfundisha mtu siku tatu tu una mwambia aende, napenda ifanyike hivi for protection of our lovely country