900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
utajua siku tangazo kama la raisi wa ukraine ikisikia wanaume wote kuanzia 18-60 yrs wabaki kupigania nchi yaoSiri gani? Kama Ni jeshi la kidwazi tutajuaje na sisi ndo wakuliboresha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utajua siku tangazo kama la raisi wa ukraine ikisikia wanaume wote kuanzia 18-60 yrs wabaki kupigania nchi yaoSiri gani? Kama Ni jeshi la kidwazi tutajuaje na sisi ndo wakuliboresha
Ilikuwa zamani sasa hivi hatuhitaji tena maana mabeberu tuliowaogopa sasa tunawakabidhi raslimali zetu kwa hiari yetuPoleni na majukumu wakuu
Naomba kuuliza,kwenye hii vita inayoendelea huko ulaya,tunaona jinsi wenzetu wa Ukraine wanavyojitahidi kuzidungua ndege za Russia na kuzuia baadhi ya makombora kwa kutumia mfumo wao wa ulinzi wa anga.
Hivi sisi hapa kwetu tunayo air defence system, na kama tunayo ni ya aina gani?
Poleni na majukumu wakuu
Naomba kuuliza,kwenye hii vita inayoendelea huko ulaya,tunaona jinsi wenzetu wa Ukraine wanavyojitahidi kuzidungua ndege za Russia na kuzuia baadhi ya makombora kwa kutumia mfumo wao wa ulinzi wa anga.
Hivi sisi hapa kwetu tunayo air defence system, na kama tunayo ni ya aina gani?
Ipo bro. Tanzania Airforce Command, tokea mwaka 64.
View attachment 2134180
Ukonga, Mwanza na Nyerengere Air Bases.
Tuna fighters, chopper, trainer na transpoter.
Kama unaangaliaga uhuru day zile ni trainer zile jet ndege zinapita kibati. Mfano Shenyang na Chengdu.
Mfano wa Fighters tulionayo ni Chengdu J7 ambayo ni fighter jet ya 3rd generation.
View attachment 2134181
Nyingine hatuoneshwi kwa sababu za kiusalama lakini tupo vizuri sana mzee baba.
Pole sana kwa fikra zako. Jifunze kujua kila jeshi lina silaha kuanzia ndogo hadi kubwa.hizo silaha umeona unazoita uchafu zinatumika na mataifa madogo na makubwa ndugu. Ungefanya utafiti mdogo tu google ungejua inatumika na nani na katika level ipi. Sio kila sehemu kwenye vita utaona makombora makubwa, ndio maana walioingia kyiv wanapigana kwa portable weapons (small arms). Unajua assaulting mobile inf weapons? Silaha za nchi zinanunuliwa kulingana na nguvu ya, adui wako na sio kununua kila silaha mpya unayoiona.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huo uchafu utautumia kupigana na nani dunia ya sasa
sasa sisi hayo madude ya nini we nao threat to anyone and we have no threat from anyone african is about love and we love our familyPoleni na majukumu wakuu
Naomba kuuliza,kwenye hii vita inayoendelea huko ulaya,tunaona jinsi wenzetu wa Ukraine wanavyojitahidi kuzidungua ndege za Russia na kuzuia baadhi ya makombora kwa kutumia mfumo wao wa ulinzi wa anga.
Hivi sisi hapa kwetu tunayo air defence system, na kama tunayo ni ya aina gani?
Namuona kamanda wangu hapo kwenye chombo akikata upepo juu kwa juu 😄 ahahahaaa...
Tunahirizi zinazopumua..[emoji16]
Majibu ya hilo swali lako utayapata lugalo,upanga,airport ya dar na kambi nyingine zote.Wewe ukienda pale waulize hilo swali lako na wao watakujibu ipasavyo
Unyama sana tuko vizuri mkuu..😁Kmmk[emoji23][emoji23][emoji23]
Unyama sana tuko vizuri mkuu..[emoji16]
😂Watatuuwa tumesimama