kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Siri gani? Kama Ni jeshi la kidwazi tutajuaje na sisi ndo wakuliboreshaWanasemaga mambo ya jeshi la tanzania ni siri na hayatakiwa kuchunguzwa chunguzwa
Uambiwe ili iweje wakati ndio siri kubwa kuliko zote ndani ya nchi hiiPoleni na majukumu wakuu
Naomba kuuliza,kwenye hii vita inayoendelea huko ulaya,tunaona jinsi wenzetu wa Ukraine wanavyojitahidi kuzidungua ndege za Russia na kuzuia baadhi ya makombora kwa kutumia mfumo wao wa ulinzi wa anga.
Hivi sisi hapa kwetu tunayo air defence system, na kama tunayo ni ya aina gani?
Mkuu subiri wanajeshi wa JF wajeSiri gani? Kama Ni jeshi la kidwazi tutajuaje na sisi ndo wakuliboresha
Unataka nchi ianike siri ili maadui zetu watuvamie?Poleni na majukumu wakuu
Naomba kuuliza,kwenye hii vita inayoendelea huko ulaya,tunaona jinsi wenzetu wa Ukraine wanavyojitahidi kuzidungua ndege za Russia na kuzuia baadhi ya makombora kwa kutumia mfumo wao wa ulinzi wa anga.
Hivi sisi hapa kwetu tunayo air defence system, na kama tunayo ni ya aina gani?
🤣🤣🤣Iko Sumbawanga kwa Machifu
Air defence system sio air force.Ipo bro. Tanzania Airforce Command, tokea mwaka 64.
View attachment 2134180
Ukonga, Mwanza na Nyerengere Air Bases.
Tuna fighters, chopper, trainer na transpoter.
Kama unaangaliaga uhuru day zile ni trainer zile jet ndege zinapita kibati. Mfano Shenyang na Chengdu.
Mfano wa Fighters tulionayo ni Chengdu J7 ambayo ni fighter jet ya 3rd generation.
View attachment 2134181
Nyingine hatuoneshwi kwa sababu za kiusalama lakini tupo vizuri sana mzee baba.
Mi nimemshangaa uyu jamaa saa sijui hajalielewa swali ama tatizo apa ni lugha iliyotumika labdaAir defence system sio air force.
Majibu ya hilo swali lako utayapata lugalo,upanga,airport ya dar na kambi nyingine zote.Wewe ukienda pale waulize hilo swali lako na wao watakujibu ipasavyo
nafikiri ni swali kwa homeboy luteni denis urio popote alipo majibu tafadhaliPoleni na majukumu wakuu
Naomba kuuliza,kwenye hii vita inayoendelea huko ulaya,tunaona jinsi wenzetu wa Ukraine wanavyojitahidi kuzidungua ndege za Russia na kuzuia baadhi ya makombora kwa kutumia mfumo wao wa ulinzi wa anga.
Hivi sisi hapa kwetu tunayo air defence system, na kama tunayo ni ya aina gani?