Juma chief
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 2,764
- 2,366
ipo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee wale watu bhana ni hatari snJamaa wa shari sana wana mpaka cyber commandos. Acha tu. Kuzuga ndio usiombe wana jaribisha makombora na kuya fanya ya fail kama zuga za kupotezea uwezo wao halisi kijeshi.
Na washawasha!
aisee wale watu bhana ni hatari sn
ndo vita za kisasa hizo yaan nchi inaweza ikafall bila hata kupigwa missileUmeonaee!!! Wanapigana vita kali kwa sasa kati yao na US, S.Korea Japan kwa upande mwingine. Hii vita ni kali sana usiombe. Vita ya akili.
Na washawasha!
ndo vita za kisasa hizo yaan nchi inaweza ikafall bila hata kupigwa missile
i hao jamaa walikua washaandika wosia huko walikotokaRais wao mnyoa panki pamoja na ujanja ujanja mwingi akanasa kwa wa Marekani wamenda mpaka home kwake, wakapiga nae story kunywa wine na kula wakati mzuri, sina hakika kama kesha stukia huu mchezo wa akili aliofanyiwa.
Na washawasha!
zamani nchi ikishinda kwenye dog fight inaattain air superiority. kwenye cyber war unaweza tawala anga kwa kutumia kompyuta tu. ni vita mbaya kuliko tunavyodhani. mbaya zaidi hakuna rules of engagement. wamarekani walijiandaa na operation Nitro Zeus. ingetokea Israel wameivamia Iran. Marekani angeingilia kwa kuzima kila kitu.ndo vita za kisasa hizo yaan nchi inaweza ikafall bila hata kupigwa missile
yaan cku hizi unaweza kuwa una airdefense nzuri halafu isifanye kazi wakati inapohiyajikazamani nchi ikishinda kwenye dog fight inaattain air superiority. kwenye cyber war unaweza tawala anga kwa kutumia kompyuta tu. ni vita mbaya kuliko tunavyodhani. mbaya zaidi hakuna rules of engagement. wamarekani walijiandaa na operation Nitro Zeus. ingetokea Israel wameivamia Iran. Marekani angeingilia kwa kuzima kila kitu.
i hao jamaa walikua washaandika wosia huko walikotoka
halafu naona kama design hio inatumika kipind hiki cha karibunUmesha msikia mchezaji mpira wa kikapu maarufu msataafu US, futilia utajua watu wanavyo weza kukuingiza kingi.
Na washawasha!
halafu naona kama design hio inatumika kipind hiki cha karibun
aisee kweli dunia ni pana sana..yale mabaka ni ta too mkuuHaya mabaka baka ambayo watu hujichora mwilini, nimesahau jina lake, basi hayo kwa udukuzi si mchezo.
Na washawasha!
zamani nchi ikishinda kwenye dog fight inaattain air superiority. kwenye cyber war unaweza tawala anga kwa kutumia kompyuta tu. ni vita mbaya kuliko tunavyodhani. mbaya zaidi hakuna rules of engagement. wamarekani walijiandaa na operation Nitro Zeus. ingetokea Israel wameivamia Iran. Marekani angeingilia kwa kuzima kila kitu.
aisee kweli dunia ni pana sana..yale mabaka ni ta too mkuu
usiku mwema mkuuBasi ngoja ni ishie hapa naona kama usha kodoa macho!
Na washawasha!
ni kweli hizo stori mkuu?