Hivi Tanzania tuna cyber army?

Hivi Tanzania tuna cyber army?

Mkuu Yiyu Sheping hebu rudi utujuze zaidi nimekua interesting sana na hizi habari,shusha vitu angalau nasi tupate mawili matatu.
 
Mkuu Yiyu Sheping hebu rudi utujuze zaidi nimekua interesting sana na hizi habari,shusha vitu angalau nasi tupate mawili matatu.

Kama wewe ni member unaye ingia kuwakilisha kwenye baraza la usalama la umoja wa mataifa
basi jua brain yako iko monitored and controlled na komputa za myahudi. Na wamewapata kupitia vile walishwavyo pale.

Na washawasha!
 
Mimi nadhani linaweza kuwepo na hata kama halipo bado mambo haya huwa ni top secret,kwani kwa dunia ya leo jinsi ilivyo ungekuta tumesha shambuliwa.
Halipo, Tanzania hakuna wasomi.
 
aisee wale jamaa inabidi tu tukubali wana akili za ajabu...........kwanza kule kwao wanatumia internet yao wenyew ambayo aiko connected na hii tunayotumia wengne kwahio hamna uwezekano kabisa wa kuwashambulia kimtandao wao wanashambulia tu wengine
Huko ndo kujilinda sasa, sitashangaa Majeshi yetu yanatumia Windows 7 kwa mambo yake ya msingi.
 
Mkuu huku hakuna kitu..

Vitoto vya DIT vinahack account za watu insta TCRA imewashindwa....

Tcra ndo alitakiwa awe mother of cyber army...


Wewe waambie kuna Ukuta tuu...! Hawatakosa kazi za kijamii siku hiyo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mkuu Tanzania watu wenye uwezo huo wapo wengi tu na tunaweza kua na jeshi imara sana la aina hiyo..
 
Mi naona uwezo tunao, hakuna linaloshindikana na watanzania tunauwezo mkubwa tu kiakili ila tukitqka kuwa fiti ni lazima mambo flani yabadilike, mifumo flani ibadilike na Serikali iamue kuwekeza kweli kweli ktk sayansi kuanzia ngazi ya awali na kuendelea. Siyo kwa ajili ya kupata watu wa cyber tu hatakupata wataalamu wengine ktk fani tofauti..

Hapa kwetu unakuta mtu anaunda kitu but anaweza pigwa marufuku na asiendelezwe wakati nchi za wenzetu mtu akionesha uwezo flani atasaidiwa kwa hali na mali...kwa mfano kuna mtu alitengeneza Helkopta mbeya naamin mlisikia kilichofata...nimewahi kukaa na mzee mmoja genius sana waisrael wenyewe walipobahatika kukaanaye walikubali (Mungu amrehemu huyu mzee kafariki mwaka jana) alikuwa anafanyakazi jeshini (engineer ) inasemekana aliwahi kutengeneza helkopta miaka ya 80, Alikuwa anauwezo kutengeneza bunduki, Aliwahi kutengeneza kinu cha kupukuchulia mahindi, ametengeneza madhine ya kutotolesha vifaranga nk...Je unaweza kuhisi mtu huyu alikuwa muhimu kwa kiwango gani endapo angewezeshwa na kutumika ktk Taifa.!?

Nachotaka kusema ni kwamba kilakitu kinawezekana ila uwekezaji lazima ufanyike na mifumo flani inayokwamisha watu kuonesha uwezo wao na kutokuwaendeleza, mifumo hii ibadilike
Kama ni kweli basi tunaweza sema hii inchi ina matatizo mengi mazito tena ya kiroho.

Mungu aturehemu Watanzania.
 
zamani nchi ikishinda kwenye dog fight inaattain air superiority. kwenye cyber war unaweza tawala anga kwa kutumia kompyuta tu. ni vita mbaya kuliko tunavyodhani. mbaya zaidi hakuna rules of engagement. wamarekani walijiandaa na operation Nitro Zeus. ingetokea Israel wameivamia Iran. Marekani angeingilia kwa kuzima kila kitu.
Ebhana weeee, nipe elimu hapo kaka.
 
Nilikuwa naangalia Documentary moja inaitwa Zero Days. inaelezea namna Marekani na washirika wake waliweza kushambulia mitambo ya nyuklia ya Iran kwa kutuma kirusi cha kompyuta (STUXnet). kirusi hicho kilisababisha mitambo ya Iran iwe inalipuka.

wairan wakajifunza kitu na kuamua kuunda jeshi lao la mtandaoni. moja ya kazi ilizofanya ni kushambulia mitandao ya benki za Marekani na mifumo ya umeme. Pia waliishambulia Uturuki na kuzima umeme nusu ya nchi kwa saa 12.
hii ni vita mbaya sana. inaweza zima umeme, mawasiliano ya simu, mitambo na ndege za kijeshi, mifumo ya maji safi na salama, traffic control, mifumo ya benki na fedha. kifupi nchi inaweza rudi stone age ndani ya dakika. Assume tushambuliwe kwenye mifumo yetu ya simu-pesa?
je Tanzania tuna jeshi la mtandaoni?
Kama hauwezi kufikiri tofauti huwezi kuwa na jipya na utaendelea kuitumia vilivyotupwa na wenzio wanaofikira mpya kila uchao.

Leo Uhuru ati Jeshi lina nguvu kwa kuruka sarakasi na kupga matofali kuyavunja huku ni kukosa muono majeshi imara ni technology mpya Si maguvu ya mwili.

Bila mfumo Elimu makuzi kwa lugha mama kuanzia chini ni ngumu kukabiliana na tatizo la elimu fikirishi.

Mataifa yote yanayo endelea ki Uchumi na technology ni Yale ambayo mfumo mama unafanya kazi kwa watu wake.
 
-->>HAPO NDIPO UTAGUNDUA UBAYA WA KU-COMPUTERISED KILA MFUMO KATIKA NCHI...
KWA TANZANIA WATAIBA MABENK NA KOTE AMBAKO KUNA TEGEMEA MFUMO HUO.
 
-->>HAPO NDIPO UTAGUNDUA UBAYA WA KU-COMPUTERISED KILA MFUMO KATIKA NCHI...
KWA TANZANIA WATAIBA MABENK NA KOTE AMBAKO KUNA TEGEMEA MFUMO HUO.
 
Mkuu Tanzania watu wenye uwezo huo wapo wengi tu na tunaweza kua na jeshi imara sana la aina hiyo..
Mkuu kwa aina ya Elimu tegemezi tuliyo nayo na aina ya Wasomi niwaona kwa kada mbalimbali Viongozi wetu wa serikali ni ngumu kufikiri tunaweza fika huko

Inchi zinaendeshwa na wanaichi wazalendo ni ngumu kutengeneza (kuwafanya) watu wawe wazando kwa Elimu tegemezi inayo nyima Uhuru wa watu kuitumia na kukuza lugha yao.

Mataifa yote yaliyo endelea hawatumii elimu ya kunakiri na hata wakinakiri wanaboresha zaidi.

Kutegemea mabadiriko kwenye inchi zetu katika aina ya mfumo huu ni sawa nakusubiri samaki aishi inje ya maji
 
Serikali naona wame concentrate na oil and gas mpaka kuwasomesha nje ya nchi wamasahau maswala ya cyber security , ngojea yakiwakuta .
 
Huko ndo kujilinda sasa, sitashangaa Majeshi yetu yanatumia Windows 7 kwa mambo yake ya msingi.
aisee ndio maana nchi zetu hizi ni ngum sana kujilinda hasa kwe cyber world
 
Ebhana weeee, nipe elimu hapo kaka.
Israel ilikuwa inatishia kutumia nguvu za kijeshi ili kuizuia Iran kutengeneza bomu la nyuklia. Marekani akaona Israel peke yake hawezi pambana na Iran hivyo atalazimika kumsaidia. Pia akaona kuwa itakuwa ngumu kwake kuvamia nchi ya tatu ya kiislamu, itamuharibia kidiplomasia. ndiyo wakaja na mpango Nitro Zeus.

Iwapo Israel angeishambulia Iran, Marekani wataisaidia Kwa kufanya cyber attack kubwa Iran. Walitaka kuzima rada, air defence systems, mitambo ya kuongoza ndege, umeme, mifumo ya mawasiliano jeshini, mifumo ya benki nk. kiufupi Iran ingeshindwa kujilinda na kujibu mapigo.
 
Back
Top Bottom