Ambiele Kiviele JF-Expert Member Joined Dec 29, 2014 Posts 15,267 Reaction score 29,917 Dec 9, 2016 #81 Mambo ya mitandao bado Sana kwetu
shybubu JF-Expert Member Joined Oct 30, 2016 Posts 538 Reaction score 393 Dec 9, 2016 #82 Eddy Love said: hakuna bongo na kamwe hatuwezi Click to expand... Una uhakika hakuna? Tupe evidence
Yiyu Sheping JF-Expert Member Joined Jun 21, 2016 Posts 1,720 Reaction score 850 Dec 9, 2016 #83 Eddy Love said: hakuna bongo na kamwe hatuwezi Click to expand... Muulize bi simba yuko katika nafasi nzuri kuelezea hili. Na washawasha!
Eddy Love said: hakuna bongo na kamwe hatuwezi Click to expand... Muulize bi simba yuko katika nafasi nzuri kuelezea hili. Na washawasha!
Eddy Love JF-Expert Member Joined Jul 25, 2011 Posts 13,654 Reaction score 8,564 Dec 9, 2016 #84 shybubu said: Una uhakika hakuna? Tupe evidence Click to expand... nenda tcra ukashtaki umetapeliwa mtandaoni kama watamkamata mwizi ndo ujue hicho kitengo hakifanyi kazi mpaka umtukane raisi
shybubu said: Una uhakika hakuna? Tupe evidence Click to expand... nenda tcra ukashtaki umetapeliwa mtandaoni kama watamkamata mwizi ndo ujue hicho kitengo hakifanyi kazi mpaka umtukane raisi
StraTon MemPhis GhaZar JF-Expert Member Joined Nov 10, 2016 Posts 592 Reaction score 387 Dec 9, 2016 #85 hakuna kinachoshindikana..... ni kufundishwa tu na uhodari.... na ivyo vitu inawezekana vipo nchini basi tu... zile radar za kuangalia wavamizi wa mipaka ya majin na nchi kavu zina operet vp... ndo hayo hayo tu ni vifaa na walimu tu..
hakuna kinachoshindikana..... ni kufundishwa tu na uhodari.... na ivyo vitu inawezekana vipo nchini basi tu... zile radar za kuangalia wavamizi wa mipaka ya majin na nchi kavu zina operet vp... ndo hayo hayo tu ni vifaa na walimu tu..