Hivi Tanzania wenye haki ya kuteuliwa na Rais ni wazee tu?

Hivi Tanzania wenye haki ya kuteuliwa na Rais ni wazee tu?

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Vijana nafasi yetu iko wapi? Sijawai kuona kijana mwenye umri Kati ya miaka 18-30 akiteuliwa na Rais kuongoza taasisi yeyote ya umma!

Wazee wa miaka 70 bado wapo serikalini wanabadilishwa kutoka huku kwenda kule.

Imagine IGP mstaafu anakula Tena shavu, Waziri mkuu mstaafu anakula Tena shavu? Alisahau Nini serikalini?

Ufanisi wa kijana wa miaka 30 na mzee wa miaka 70 Nani anafikiria sawasawa?

Vijana tuamke tudai katiba 50% ya teuzi ziwe za vijana under 35 years

Haiwezekani kila siku watu walewale tu mpaka wanafia madarakani
 
Vijana mujitafakari wazee wa hovyo ila naona kama vijana munatuzidi uhovyo
Tabia tu ya mtu angalia makampuni yote yanayofanya vizuri kibiashara Tanzania na dunia yote Yana asilimia kubwa ya vijana

Sasa Kama kwenye makampuni wameweza itaakuwaje washindwe serikalini?
 
Vijana nafasi yetu iko wapi? Sijawai kuona kijana mwenye umri Kati ya miaka 18-30 akiteuliwa na Rais kuongoza taasisi yeyote ya umma!

Wazee wa miaka 70 bado wapo serikalini wanabadilishwa kutoka huku kwenda kule.

Imagine IGP mstaafu anakula Tena shavu, Waziri mkuu mstaafu anakula Tena shavu? Alisahau Nini serikalini?

Ufanisi wa kijana wa miaka 30 na mzee wa miaka 70 Nani anafikiria sawasawa?

Vijana tuamke tudai katiba 50% ya teuzi ziwe za vijana under 35 years

Haiwezekani kila siku watu walewale tu mpaka wanafia madarakani
Katiba mpya ni muhimu sana kiongozi
 
Tabia tu ya mtu angalia makampuni yote yanayofanya vizuri kibiashara Tanzania na dunia yote Yana asilimia kubwa ya vijana

Sasa Kama kwenye makampuni wameweza itaakuwaje washindwe serikalini?
Kampuni sio sirikali mzee kampuni mtu akiona unazingua anakupiga na chini nyie bado hamjafikia hapa
 
Vijana tuamke tudai katiba 50% ya teuzi ziwe za vijana under 35 years
Angalia umri wa huyu dada halafu na elimu yake! Nakuuliza wewe na umri wako,tukikuweka pale ikulu utaweza??

Trump picks Karoline Leavitt to be youngest ever White House press secretary​


Leavitt, 27, currently a spokesperson for Trump's transition, would be the youngest White House press secretary in history

 
Vijana nafasi yetu iko wapi? Sijawai kuona kijana mwenye umri Kati ya miaka 18-30 akiteuliwa na Rais kuongoza taasisi yeyote ya umma!

Wazee wa miaka 70 bado wapo serikalini wanabadilishwa kutoka huku kwenda kule.

Imagine IGP mstaafu anakula Tena shavu, Waziri mkuu mstaafu anakula Tena shavu? Alisahau Nini serikalini?

Ufanisi wa kijana wa miaka 30 na mzee wa miaka 70 Nani anafikiria sawasawa?

Vijana tuamke tudai katiba 50% ya teuzi ziwe za vijana under 35 years

Haiwezekani kila siku watu walewale tu mpaka wanafia madarakani
Utendaji unategemea kalba ya mtu na siyo umri. Kuna vijana wengi sana wameteuliwa CCM lakini wamekuwa ni wa hovyo kuliko.
 
busara ziko kwa wazee..chadema wamepigwa chini kwenye chaguzi za mitaa kwa kusimamisha vijana ambao hata hawajaoa
 
Angalia umri wa huyu dada halafu na elimu yake! Nakuuliza wewe na umri wako,tukikuweka pale ikulu utaweza??

Trump picks Karoline Leavitt to be youngest ever White House press secretary​


Leavitt, 27, currently a spokesperson for Trump's transition, would be the youngest White House press secretary in history

Hoja yako kidogo inafikirisha. Siyo lazima mtu mwenye umri mkubwa ampite mwenye umri mdogo kwa kila kitu. Kwa mfano huyu anaweza kuwa amesomea hiyo taaluma na ana kipaji cha kuzaliwa kwenye hiyo sehemu pia. La muhimu ni kuwateua watu kulingana na sifa, uwezo na kisomo na siyo kama tunavyofanya sisi.
 
Kampuni sio sirikali mzee kampuni mtu akiona unazingua anakupiga na chini nyie bado hamjafikia hapa
Kwani serikalini ukizengua upigwi chini

Ndio maana serikali zenu haziwajibiki

Imagine uzembe wa kariakoo mpaka sasahv hakuna mtu hata mmoja aliyewajibika
 
Vijana wengi hawako tayari kufanya kazi na hawana siri. Hiki kipengele cha siri ni mtihani mkubwa.
 
Back
Top Bottom