Hivi Tanzania wenye haki ya kuteuliwa na Rais ni wazee tu?

Hivi Tanzania wenye haki ya kuteuliwa na Rais ni wazee tu?

Ufanisi ni kwenye kula tunda kimasihara!Full ngono plus ubabe,ushamba,ulimbukeni n.k, kwani marehemu Magufuli si aliwajaribu??Hukuwaona??
Bora haohao wazee, vijana ni washenzi mno. Wakipata madaraka hawana adabu wala staha, ni chawa pro max.
 
Sio kweli kazi Zina Siri gani ?? Yaani mfano mtu kuwa mkurugenzi wa tbc unahitaji kuficha Siri gani ??😀😀😀😀
Mambo ni mengi sana. Kama hujawahi kukutana na siri nzito nzito omba sana usikutane nazo.
 
Back
Top Bottom