Hivi Techno Ina charger original?Mkuu nunua OG hizo zina wenyewe
Daah nimeuliza tu maana ili upate charger org. Inabidi uwe na Simu org.Nunua ORAION ipo poa sana
Nadhani utakua unamaanisha oraimoNunua ORAION ipo poa sana
Ndio mkuuNadhani utakua unamaanisha oraimo
Nokia ina shida gani mkuu?Tecno ina charger og nzuri kabisa. Nilitumia Tecno sana, sasa hivi natumia Nokia nikibadili sitarudia tena Nokia sijapata usumbufu na simu kama hii Nokia.
Kuna haja ya kuhamasishana kutonunua vitu KARIAKOO hadi wabadilike, wamezidi wizi na utapelina USB faki zimejaa mtaani halafu ukinunua kama kariakoo ndio utapigwa bei juu na kazi hazifanyi
Wewe Sabaya si ulikuwa una pesa za kupora?? Haha joking mkuu...hiyo avatar yakoWe unanunua chaji za buku mbili unaanza kulaumu
[emoji3][emoji3][emoji3] mi na hela nikichomoka nakula maisha tuWewe Sabaya si ulikuwa una pesa za kupora?? Haha joking mkuu...hiyo avatar yako
Si hadi uchomoke?[emoji3][emoji3][emoji3] mi na hela nikichomoka nakula maisha tu
Nandy nishajiseviaSi hadi uchomoke?
Afu umekula sana demu za watu bila ridhaa mkuu
Hapo si ulikwama?Nandy nishajisevia
Wanaficha tu katoto katamu saa sitaHapo si ulikwama?