Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Fala wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanaficha tu katoto katamu saa sita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fala wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanaficha tu katoto katamu saa sita
Ina stuck balaa...nimeitumia less than a yearNokia ina shida gani mkuu?
Nimetumia Nokia 7.1 lakini sikuona shida hiyo isipokuwa ilikuwa inakufa mara kwa mara port ya USB/Charging hadi ikawa kero...Ina stuck balaa...nimeitumia less than a year
Sijawahi. Ya Kwanza ilikufa sehemu ya kuweka simcard ndani ya miezi miwili,simu mpya kabisa ikabidi card iwe supported na vikaratasi. Ya pili ndio hii ina stuck balaa.Nimetumia Nokia 7.1 lakini sikuona shida hiyo isipokuwa ilikuwa inakufa mara kwa mara port ya USB/Charging hadi ikawa kero...
Umewahi jaribu kufanya software updates zote?
Sijawahi. Ya Kwanza ilikufa sehemu ya kuweka simcard ndani ya miezi miwili,simu mpya kabisa ikabidi card iwe supported na vikaratasi. Ya pili ndio hii ina stuck balaa.
Nanunua kwenye duka la mtandao mkubwa WA simu mpaka nahisi isije kuwa wanapewa reject na manufacturers.
Nokia ilikuwa zamani sasa hivi ni taka taka.Sijawahi. Ya Kwanza ilikufa sehemu ya kuweka simcard ndani ya miezi miwili,simu mpya kabisa ikabidi card iwe supported na vikaratasi. Ya pili ndio hii ina stuck balaa.
Nanunua kwenye duka la mtandao mkubwa WA simu mpaka nahisi isije kuwa wanapewa reject na manufacturers.
Wao wanaangalia sabuni za jaribu na vipodozi vingine , huko kwenye umeme thubutu !Toka nimeanza kutumia charger za simu sijui ni ngapi zimepiga shoti. Kamoja nilinunua tu na kukaweka kwa mara ya kwanza kakapiga shoti. Katika vitu fake vingi ni hizi charger na USB cable.
TBS hebu fuatilieni hili suala. Watu watakuwa wanaunguza majengo kumbe shida ipo hapa kwenye charger zisizoeleweka.
Siku hizi wauza simu hawaaminiki kabisaAu pia isijekuwa wanauza refurbished...
Memory card +frash fakeToka nimeanza kutumia charger za simu sijui ni ngapi zimepiga shoti. Kamoja nilinunua tu na kukaweka kwa mara ya kwanza kakapiga shoti. Katika vitu fake vingi ni hizi charger na USB cable.
TBS hebu fuatilieni hili suala. Watu watakuwa wanaunguza majengo kumbe shida ipo hapa kwenye charger zisizoeleweka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Boss uko vizur unanunua chaji bei ya simu. NA simu c utakua unanunua bei ya gari [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata hizo charger wanazoita OG ni utopolo tu, nimeshawahi kununua charger ya samsung walisema ni super fast charger 70,000/= na ililipuka ndani ya masaa matatu nikiwa na charge simu hiyo ni baada ya kusumbuliwa na adaptive charger ya Samsung (45,000)
Sure ka A21s nakaa nayo siku mbili na DATA sizimiNokia ilikuwa zamani sasa hivi ni taka taka.
Nimetumia simu nyingi kiasi hasa Htc ndizo nimetumia muda mrefu.
Lakini kwasasa nimezama kwa Samsung A series ni simu bora kabisa na zinadumu na chaji kuliko matoleo mengine ya samsung.
Chaja zipo og nzur tu ,sema una bahat mbaya,km hiyo oraimo iko poa Tena ni 15 tu mpaka 10 bei yake,nazingine nying tu yakupasa uwe na jicho la ziada kwny kuchagua ununue charger ipi? charger za Samsung nying ni fake labda iwe umeipata pind ulivonunua cm lakin baada nying huwa ni fakeHata hizo charger wanazoita OG ni utopolo tu, nimeshawahi kununua charger ya samsung walisema ni super fast charger 70,000/= na ililipuka ndani ya masaa matatu nikiwa na charge simu hiyo ni baada ya kusumbuliwa na adaptive charger ya Samsung (45,000)
Acha kununua vitu vya bei nafuu. Tazama ubora kwanza....Toka nimeanza kutumia charger za simu sijui ni ngapi zimepiga shoti. Kamoja nilinunua tu na kukaweka kwa mara ya kwanza kakapiga shoti. Katika vitu fake vingi ni hizi charger na USB cable.
TBS hebu fuatilieni hili suala. Watu watakuwa wanaunguza majengo kumbe shida ipo hapa kwenye charger zisizoeleweka.