Hivi TISS wanatumia vigezo gani kuajiri?

Hivi TISS wanatumia vigezo gani kuajiri?

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2018
Posts
2,490
Reaction score
3,584
Habari wadau..!
Siku za nyuma nilikuwa kama naona nafasi za kujiunga usalama wa Taifa zikitangazwa sijuhi ni kweli au zilikuwa feki?

Je hawa TISS ni vigezo gani vinavyotumika mpaka mtu akaajiriwa ,maana baada ya kutafuta ajira za binafsi nikaona zinazingua ss nataka nijiunge na TISS nikamalizie maisha yaliyobaki huko maana bora kufa ukitetea Taifa lako kuliko kufa kutaabika kwa kumnufaisha mhindi.
 
Kazi ya usalama wa taifa inatakiwa ikutafute na siyo uitafute wewe.

Nakiri kuwa kwa Sasa tuna idara mbovu Sana ya usalama wa taifa.

Kuchukua vijana walioko JKT na kuwaingiza TISS Ni kosa kubwa Sana, hao wanatakiwa waendelee JWTZ na Police +magereza na idara za kiraia nyinginezo.

It's a paradoxical puzzle, kila siku taarifa nyeti zinavuja na kuzagaa mitandaoni bila mpangilio.
 
Kazi ya usalama wa taifa inatakiwa ikutafute na siyo uitafute wewe!

Nakiri kuwa kwa Sasa tuna idara mbovu Sana ya usalama wa taifa.

Kuchukua vijana walioko JKT na kuwaingiza TISS Ni kosa kubwa Sana, hao wanatakiwa waendelee JWTZ na Police +magereza na idara za kiraia nyinginezo.

It's a paradoxical puzzle, kila siku taarifa nyeti zinavuja na kuzagaa mitandaoni bila mpangilio.
Una maana ndani ya miaka 10-15 taratibu zimebadilika za recruitment ?

Maaana nilishawai kuona kama matangazo yao ya kazi zamani au ni fake kidogo ss hv sioni kabisa hata PCCB nao sioni wakitangaza nafasi nao.
 
ZAMANI, walikuwa wanachukua katika Makundi haya;

1. Waseminari

2. Skauti

3. Watu wenye ujuzi Fulani.

NB:
Pamoja na Makundi hayo yote ilikuwa ni lazima uwe na IQ KUBWA na uwezo Mkubwa pia wa KUTUNZA SIRI.


SIKU HIZI, wanaangalia sifa zifuatazo;

1. Mtoto wa WAZIRI.

2. Mtoto wa Mbunge.

3. Mtoto wa MTU yeyote anayefanya KAZI katika vyombo vya usalama.

4. Kada au Mtoto wa Kada wa CCM.

5. Yeyote anaye jipendekeza katika hayo Makundi kama familia yenu haijulikani na Siyo Kati ya hayo Makundi tajwa.

NB.
Hapa kigezo cha IQ na KUTUNZA SIRI tupa kule.
 
Habari wadau..!
Siku za nyuma nilikuwa kama naona nafasi za kujiunga usalama wa Taifa zikitangazwa sijuhi ni kweli au zilikuwa feki?

Je hawa TISS ni vigezo gani vinavyotumika mpaka mtu akaajiriwa ,maana baada ya kutafuta ajira za binafsi nikaona zinazingua ss nataka nijiunge na TISS nikamalizie maisha yaliyobaki huko maana bora kufa ukitetea Taifa lako kuliko kutaabika kwa kumnufaisha mhindi.
Vigezo vinavyoangaliwa ni vingi sana, lakini, kigezo kikubwa kuliko vyote ni IQ.
 
ZAMANI, walikuwa wanachukua katika Makundi haya;

1. Waseminari

2. Skauti

3. Watu wenye ujuzi Fulani.

NB:
Pamoja na Makundi hayo yote ilikuwa ni lazima uwe na IQ KUBWA na uwezo Mkubwa pia wa KUTUNZA SIRI.


SIKU HIZI, wanaangalia sifa zifuatazo;

1. Mtoto wa WAZIRI.

2. Mtoto wa Mbunge.

3. Mtoto wa MTU yeyote anayefanya KAZI katika vyombo vya usalama.

4. Kada au Mtoto wa Kada wa CCM.

5. Yeyote anaye jipendekeza katika hayo Makundi kama familia yenu haijulikani na Siyo Kati ya hayo Makundi tajwa.

NB.
Hapa kigezo cha IQ na KUTUNZA SIRI tupa kule.
Ujuzi ninao,pia ni kada mwadilifu ,IQ sijawahi pima ninayo ngapi ila hata kwenye IQ sina shaka napo.
 
Una maana ndani ya miaka 10-15 taratibu zimebadilika za recruitment ?

Maaana nilishawai kuona kama matangazo yao ya kazi zamani au ni fake kidogo ss hv sioni kabisa hata PCCB nao sioni wakitangaza nafasi nao.
TISS hawatangazi mass employment Kama JWTZ au police na magereza.
Kwa Sasa hawafanyi vetting Kama zamani, wanachukulia vijana JKT.

PCCB Ni tawi dogo la TISS ( namaanisha kuwa watumishi wengi wa PCCB Ni wa upande wa pili)
 
Kazi ya usalama wa taifa inatakiwa ikutafute na siyo uitafute wewe!

Nakiri kuwa kwa Sasa tuna idara mbovu Sana ya usalama wa taifa.

Kuchukua vijana walioko JKT na kuwaingiza TISS Ni kosa kubwa Sana, hao wanatakiwa waendelee JWTZ na Police +magereza na idara za kiraia nyinginezo.

It's a paradoxical puzzle, kila siku taarifa nyeti zinavuja na kuzagaa mitandaoni bila mpangilio.
Imekuwa ya hovyo sana nowday.. Sasa hivi ni undugu sijui urafiki yaani imekuwa ya hovyo sana Diwani anatakiwa ajitadhimini
 
TISS hawatangazi mass employment Kama JWTZ au police na magereza.
Kwa Sasa hawafanyi vetting Kama zamani, wanachukulia vijana JKT.

PCCB Ni tawi dogo la TISS ( namaanisha kuwa watumishi wengi wa PCCB Ni wa upande wa pili)
Sawa !
 
Imekuwa ya hovyo sana nowday.. Sasa hivi ni undugu sijui urafiki yaani imekuwa ya hovyo sana Diwani anatakiwa ajitadhimini
Wanatakiwa kusitisha ajira holela kwa miaka japo miwili, then waanze kitumia vetting.

Yaani miiko ya kazi haipo Tena, wanatumia jina la idara kutafuta sifa mitaani.
 
Una maana ndani ya miaka 10-15 taratibu zimebadilika za recruitment ?

Maaana nilishawai kuona kama matangazo yao ya kazi zamani au ni fake kidogo ss hv sioni kabisa hata PCCB nao sioni wakitangaza nafasi nao.

Pccb wanatangaza hata mwaka jana walitangaza kwenye website yao, Tiss do sijajua
 
Umeongea vizuri sana kasoro hiyo aya ya mwisho. Njia ya kuzuia kuvuja kwa taarifa ni kuwapa wananchi taarifa juu ya yale yanaoendelea kwenye taifa lao.
Kazi ya usalama wa taifa inatakiwa ikutafute na siyo uitafute wewe!

Nakiri kuwa kwa Sasa tuna idara mbovu Sana ya usalama wa taifa.

Kuchukua vijana walioko JKT na kuwaingiza TISS Ni kosa kubwa Sana, hao wanatakiwa waendelee JWTZ na Police +magereza na idara za kiraia nyinginezo.

It's a paradoxical puzzle, kila siku taarifa nyeti zinavuja na kuzagaa mitandaoni bila mpangilio.
 
Habari wadau..!
Siku za nyuma nilikuwa kama naona nafasi za kujiunga usalama wa Taifa zikitangazwa sijuhi ni kweli au zilikuwa feki?

Je hawa TISS ni vigezo gani vinavyotumika mpaka mtu akaajiriwa ,maana baada ya kutafuta ajira za binafsi nikaona zinazingua ss nataka nijiunge na TISS nikamalizie maisha yaliyobaki huko maana bora kufa ukitetea Taifa lako kuliko kufa kutaabika kwa kumnufaisha mhindi.
UVCCM HAO
 
Back
Top Bottom