Hivi TISS wanatumia vigezo gani kuajiri?

Hivi TISS wanatumia vigezo gani kuajiri?

Umeongea vizuri sana kasoro hiyo aya ya mwisho. Njia ya kuzuia kuvuja kwa taarifa ni kuwapa wananchi taarifa juu ya yale yanaoendelea kwenye taifa lao.
Sizungumzii mambo madogo Kama taarifa za kuumwa Rais, nazungumzia mambo mengine yanayopaswa kubaki "jikoni" na siyo kuzagaa mitaani!

Kiongozi wetu (waziri mkuu ) alifeli Sana, Ila haya yote Ni kutokana na mfumo mbovu wa TISS.
 
Habari wadau..!
Siku za nyuma nilikuwa kama naona nafasi za kujiunga usalama wa Taifa zikitangazwa sijuhi ni kweli au zilikuwa feki?

Je hawa TISS ni vigezo gani vinavyotumika mpaka mtu akaajiriwa ,maana baada ya kutafuta ajira za binafsi nikaona zinazingua ss nataka nijiunge na TISS nikamalizie maisha yaliyobaki huko maana bora kufa ukitetea Taifa lako kuliko kufa kutaabika kwa kumnufaisha mhindi.
Hata kama walikua wanakufwatilia wakiona hii posti zoezi linaishia hapa.
 
Siku ukiamua kutoka kwenye hiyo kazi basi inabidi ukimbie nchi kama Chahali ukijifanya utulie nchini basi lazima uokotwe kwenye mtaro ,kisima au ajali ya bodaboda.(M.A.P Ulomi).
 
Back
Top Bottom