Utu ni utu na ubinadamu kazi.Mfano mwenzio anaweza kwambia hebu kuwa na utu au kuwa na ubinadamu.
Hivi huwa wana maanisha nn?
Siyo kweliChanzo cha maneno haya ni;
Mtu » utu
Binadamu » ubinadamu
Yote yana maana moja kumaanisha USTAARABU NA HEKIMA kwasababu asiri ya mtu au binadamu ni MUNGU aliyetuumba na hekima na ustaarabu.
Ndugu zangu Kadri mnavyozidi kunielezea ndio mnazidi kunichanganya😄Siyo kweli
Binadam linatokana na Bin-Adam yaani mtoto wa Adam kulingana na maandiko ya kimapokeo kutoka mataifa ya magharibi na Mtu linatokana na U-mntu yaani mtoto wa Mntu kulingana na asili ya Kibantu ya watu wa Afrika