Hivi tokea Rais Samia aingie Madarakani ameshazungumzia na Kukemea Rushwa ya Ngono Shuleni, Vyuoni na Makazini?

Hivi tokea Rais Samia aingie Madarakani ameshazungumzia na Kukemea Rushwa ya Ngono Shuleni, Vyuoni na Makazini?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
au huenda Yeye ( kama Mwanamke ) hiki siyo Kipaumbele chake na kwamba kila Mwanamke wa Kitanzania ailinde 'Rasilimali Tamu' yake Mwenyewe tu?

Niyaonayo kwa hili ni makubwa mno tu.
 
au huenda Yeye ( kama Mwanamke ) hiki siyo Kipaumbele chake na kwamba kila Mwanamke wa Kitanzania ailinde 'Rasilimali Tamu' yake Mwenyewe tu?

Niyaonayo kwa hili ni makubwa mno tu.
Mr.@KEROZENE , Jambo ulilojisahaulisha hapa ni kuwa angalau nyani aone aibu kwa kutazama kundules za nyani wengine!

Kama alitoa rushwa ya kumpandisha cheo jaji katikati ya kesi ya ugaidi baada ya kuona shaka huenda aibu ikamwangukia, atawezaje kukemea Rushwa hyo unayoizungumzia???
 
Kwahiyo Kila kitu mpaka rais samia akemee. Huyo rais kazi mbona anayo.
Waathirika hawajui pa kureport ama ? Kuna mashirika kibao ya kutetea haki za binadamu na wanawake, Kuna polisi Kuna mahakama. Waelimisheni ndugu zenu. Msimchoshe rais
 
au huenda Yeye ( kama Mwanamke ) hiki siyo Kipaumbele chake na kwamba kila Mwanamke wa Kitanzania ailinde 'Rasilimali Tamu' yake Mwenyewe tu?

Niyaonayo kwa hili ni makubwa mno tu.
Ushaambiwa tia/tiwa mimba zaa rudi shule.

Unataka kusikia nini tena?
 
Idara fulani Tanga inaongoza kwa rushwa ya ngono. Mkurugenzi aliyeondolewa alikua akipalilia kila aina ya rushwa. Madem zake walifuja halmashauri walivyojisikia
Yupo mtu fulani alipewa ukurugenzi kutokea Tanga jiji,aliondoka na mke wa mtu ambaye alimpora mtumishi mwenzie. Hata hivyo kimada huyo amerudi sijui imekuaje
Mkuu wa idara anajua ila kwakua nae ni muumini wa ngono hakukemea .
Tanga na ngono ngono na Tanga kwenye utumishi
 
au huenda Yeye ( kama Mwanamke ) hiki siyo Kipaumbele chake na kwamba kila Mwanamke wa Kitanzania ailinde 'Rasilimali Tamu' yake Mwenyewe tu?

Niyaonayo kwa hili ni makubwa mno tu.
We ukiwatetea wanawake wenzio sio mbaya dada
 
Hana mpango nayo japo kuwa kif kimepewa hadhi kuwa kids la uhujumu uchumi tangu kipindi Cha mwendazake
 
au huenda Yeye ( kama Mwanamke ) hiki siyo Kipaumbele chake na kwamba kila Mwanamke wa Kitanzania ailinde 'Rasilimali Tamu' yake Mwenyewe tu?

Niyaonayo kwa hili ni makubwa mno tu.
Hata sisi wanaume tuna rasilimali tamu
 
Back
Top Bottom