Dr PL
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 327
- 537
Kuna kipindi walitangaza kwamba tozo kwenye miamala ya simu zimeondolewa.
Pia nakumbuka mchanganuo wa matumizi ya hizo tozo ulitolewa ikiwemo ujenzi wa vituo vya afya, barabara nk.
WMTH | Habari
Ministry of Communication and Information Technology | Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
VODACOM YAIPONGEZA SERIKALI KUONDOA TOZO ZA MIAMALA YA SIMU KWANI IMEKUZA BIASHARA | MoF - Ministry of Finance
VODACOM YAIPONGEZA SERIKALI KUONDOA TOZO ZA MIAMALA YA SIMU KWANI IMEKUZA BIASHARA | Ministry of Finance Tanzania | Wizara ya Fedha Tanzania
Au zimerudishwa tena?
Naomba tujulishane.