Hivi treni ya kuelekea Moshi bado ipo? Mwisho wa mwaka tunaanza kupanga safari

Anayejua treni ya Mwakyembe inapita route zipi mjini Daresalama anijuze tafadhali
 
Nauliza kwa wale abiria wenzangu wa Tanga Moshi Arusha ile treni yetu iliyozinduliwa na mh Polepole ( MB ) bado ipo?

Naomba majibu Tafadhali huu ni wakati wa kujipanga December imekaribia.

Sabato njema!
Halafu Polepole anafundisha shule ya Uongozi kama ameshindwa kuisimamia hii route moja tu ya Dar Moshi ataweza kuaminika kufundisha watu uongozi. Pia aulizwe na SABAYA.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Nauliza kwa wale abiria wenzangu wa Tanga Moshi Arusha ile treni yetu iliyozinduliwa na mh Polepole ( MB ) bado ipo?

Naomba majibu Tafadhali huu ni wakati wa kujipanga December imekaribia.

Sabato njema!
Habari za Polepole kamuulize yeye mwenyewe au sukuma gang wenzenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…