Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Treni ina vibrate hata kunywa maji abiria hawawezi !Nauliza kwa wale abiria wenzangu wa Tanga Moshi Arusha ile treni yetu iliyozinduliwa na mh Polepole ( MB ) bado ipo?
Naomba majibu Tafadhali huu ni wakati wa kujipanga December imekaribia.
Sabato njema!