Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
Nimetazama BBC si kitambo kuhusu taarifa ya kutekwa nyara kwa mwanabishara maarufu kule bongo...Naskia familia ya Trillionaire huyu wameamua kutoa $430,000 ili aachiliwe salama...Ni hatari sana jamaa kama huyu anapotekwa mchana peupe..