ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Una ushahidi wa haya?Konde kalelewa wasafi kwenye majungu,fitina na ushirikina so Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo yeye alitegemea awe Malaika huyo bro kutoka Chitoholi.Nje ya Mada Diemond ule weupee vepeee
Nina ushahidi ndiouna ushahidi wa haya?
Naamini katika kazi ili hali naona kazi za mtu na jitahada zake nina sababu gani kuamini sana haya uliyosema?
Nafikiri hata huyo Konde anapiga kazi, kama kuna jambo katoka nalo pqle basi ni kujibidiisha na haya ndio matokeo yake.
Ukiwekeza kwenye jambo basi tegemea itakulipa chance ya kufeli ni ndogo sana.
Ungeweka na huo ushahidi kwenye maelezo yako hapo na how hayo majungu, fitna na ulozi vinamtoa mtu.Nina ushahidi ndio
Sijakwambia unishangilie mkuu kama vipi nipotezee😏ungeweka na huo ushahidi kwenye maelezo yako hapo na how hayo majungu, fitna na ulozi vinamtoa mtu.
Uimbe nyimbo mbovu, video mbovu, melody mbovu, Promo hovyo, show hovyo.
halafu kisa hayo uliyosema mimi nikae nikushangilie.
oky, ngoja nikupotezee ingawa siku maanisha ww nilimaanisha msanii.😄🚶🚶Sijakwambia unishangilie mkuu kama vipi nipotezee😏
Chuki ni bureAll in all EP imebuma
Chuki ni bure
Ndiyo nimejua leo kuwa una chuki kiasi cha kuroga 😵Ndo umejua leo
Ndiyo nimejua leo kuwa una chuki kiasi cha kuroga 😵
HUYU BIBI HUWA HAJIELEWI😂😂😂am sadala hater
HUYU BIBI HUWA HAJIELEWI😂😂😂