Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila unaFki EP mbovuNdiyo nimejua leo kuwa una chuki kiasi cha kuroga 😵
78Kondeboy ana tuzo ngap mpaka sasa?
Hee!why?am sadala hater
Kimuziki Konde Boy yuko juu zaidi ya Diamond, hili halina ubishi ila kimaendeleo domo anamzidi Konde Boy. Na si Konde Boy tu, kuna vijana wengi wanamzidi domo kimuziki.Inshu nzito, waliopo Konde Gang wote walikuwa wcb, Sasa sielewi huyu Dogo live anaimba kuliko diamond, ana hit nyingi resently kuliko mond, amezidiwa fame na diamond, amezidiwa hela na diamond lakini nadhani kimziki amemzidi faza, labda ndo Mana akamsaliji koz alikuwa anajua huyu ana kauwezo flani kauwezo ambacho kanamuumiza mond platinum.
All in all mond ni mkali sana, ningekuwa mond ningefurahi sana kuona Konde ana shaini ningefurahi mno Mana najua ametokea kwapani kwangu ni Kama mama na mtoto mama hawezi sikia wivu kwa mwanae hata siku moja. Yaani ningekuwa diamond ningekuwa happy na harmonize mno, si mwanangu
Diamond hana issue tenaDiamond ni Manchester United halafu konde boy ni Manchester city mmoja kabaki historia na kuangalia viewer's YouTube
Unalinganisha vitu visivyostahili kuvilinganisha, bila ushabiki na mbinu ya kujishindanisha na Diamond asingekuwa topic hapa.Inshu nzito, waliopo Konde Gang wote walikuwa WCB, Sasa sielewi huyu Dogo live anaimba kuliko Diamond, ana hit nyingi resently kuliko Mond, amezidiwa fame na Diamond, amezidiwa hela na Diamond lakini nadhani kimziki amemzidi faza, labda ndo Mana akamsaliji koz alikuwa anajua huyu ana kauwezo flani kauwezo ambacho kanamuumiza Mond Platinum.
All in all Mond ni mkali sana, ningekuwa Mond ningefurahi sana kuona Konde ana shaini ningefurahi mno Mana najua ametokea kwapani kwangu ni Kama mama na mtoto mama hawezi sikia wivu kwa mwanae hata siku moja.
Yaani ningekuwa Diamond ningekuwa happy na Harmonize mno, si mwanangu.
View attachment 2152725
Harmonize na Diamond
imebuma kwa mapenzi yako, lakini kwa uhalisia ep imetoboa na ina kasi ya ajabu baada ya mwezi tutakuwa tunaongea mengine.All in all EP imebuma
imebuma kwa mapenzi yako, lakini kwa uhalisia ep imetoboa na ina kasi ya ajabu baada ya mwezi tutakuwa tunaongea mengine.
takwimu unapikaje wewe? Chuki yako isikupumbaze mkuu.Hahaha cheiiii,naona mnaandaa takwimu za kupika
haya mambo haya kazi sana. yan mtoa mada anasema tukiacha ushabiki, ile hali ye mwenyewe kaweka ushabiki.Inshu nzito, waliopo Konde Gang wote walikuwa WCB, Sasa sielewi huyu Dogo live anaimba kuliko Diamond, ana hit nyingi resently kuliko Mond, amezidiwa fame na Diamond, amezidiwa hela na Diamond lakini nadhani kimziki amemzidi faza, labda ndo Mana akamsaliji koz alikuwa anajua huyu ana kauwezo flani kauwezo ambacho kanamuumiza Mond Platinum.
All in all Mond ni mkali sana, ningekuwa Mond ningefurahi sana kuona Konde ana shaini ningefurahi mno Mana najua ametokea kwapani kwangu ni Kama mama na mtoto mama hawezi sikia wivu kwa mwanae hata siku moja.
Yaani ningekuwa Diamond ningekuwa happy na Harmonize mno, si mwanangu.
View attachment 2152725
Harmonize na Diamond
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijakwambia unishangilie mkuu kama vipi nipotezee[emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]All in all EP imebuma