Hivi tukisema tuchague Rais wa member hapa JF tutampa yupi kati ya hawa?

Hivi tukisema tuchague Rais wa member hapa JF tutampa yupi kati ya hawa?

Mbna unaleta Mada za kijinga apa jf

Kuna moja apo Jina Lina Anza na Gardiner anafumuliwa rinda
 
Kazi ipo....kuna watu humu wanatafuta vyeo na kujulikana kwa nguvu....
Naulizia hivi..ukipata ukuu humu kuna malipo yoyote au ?
Watu wanatumia Id's kibao...nini shida?
Si muunde vyetu mkuze badala ya kudandia dandia?
 
  • Malcom Lumumba
Nampa uraisi wa jukwaa la Jf Intelligence na International forum. Wanaotembelea hayo majukwaa wanajua nachomaanisha.
 
Back
Top Bottom