The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Kama ya King Mswati
Kama hivyo na mimi niwe mgombea urais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ya King Mswati
Mshana. Makamu Gentamycine1.Gentamycine
2.Mshana Jr
3.Gudume
"hawamu" kwa uandishi huu halafu tukupe uraisi labda fb kule.Raha sana maana hawamu hii itakuwa anasafiri sana kuliko mkulu
Hawa kina ngosha hawaaminiki sana cku hiziAu Pascal Mayalla. Itapendeza Zaidi.
Kama hivyo na mimi niwe mgombea urais
Jamani hamna ya mshauri mkuu au "mpambe" ili nigombee maana kuna fursa hapo etiKama ya King Mswati
Wewe ndio mjinga, hili ni jukwaa la Chitchat.Mbna unaleta Mada za kijinga apa jf
Kuna moja apo Jina Lina Anza na Gardiner anafumuliwa rinda
Mjinga wewe kenge weWewe ndio mjinga, hili ni jukwaa la Chitchat.
Ukimwita Baba yako ni kenge maana na wewe my Son ni kenge pia.Mjinga wewe kenge we
We utakuwa baba gani akili imejaa matope ivoUkimwita Baba yako ni kenge maana na wewe my Son ni kenge pia.
Hebu nenda kacheze mvuwa hizi nipo na mama yako tunakutafutia mdogo wako.
DuuuhhUkimwita Baba yako ni kenge maana na wewe my Son ni kenge pia.
Hebu nenda kacheze mvuwa hizi nipo na mama yako tunakutafutia mdogo wako.
Raisi: Jingalao
Makamu: Deo kisandu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimeandika huku nacheka