mukaruka mzee
JF-Expert Member
- Jan 22, 2020
- 970
- 482
Amen. Ubarikiwe.Usimjibu mpumbavu sawa na upambavu wake usije kuwa sawa naye.. (Mithali 26:4)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen. Ubarikiwe.Usimjibu mpumbavu sawa na upambavu wake usije kuwa sawa naye.. (Mithali 26:4)
Nakubaliana na ww, bado maisha hayajawa magumu hivyo...ila nafasi hiyo alikua nayo Lowassa 2015( wamachinga) akashindwa kuitumia. Magufuli ameingia akawapa uhuru wa kufanya biashara. Nani aandamane?Hahhaah. Yaani kabisa ulikaa kutegemea wabongo wakinukishe kisa Halima Mdee kakosa ubunge?
Wabongo mikwala mingiii.
Wewe ukitaka tukinukishe maisha yawe magumu. Bado maisha sio magumu. Ugali upo bado. Life likiwa gumu unga hakuna njaa siku tatu hata wewe sweet kidume unayetumia jina la kike utaingiza makalio bara barani tu. Kama moroko
🤣🤣Uzuri mbowe ameshawajua nyie keyboard warriors