Uchaguzi 2020 Hivi Tundu Lissu akishindwa mtafanya nini?

Uchaguzi 2020 Hivi Tundu Lissu akishindwa mtafanya nini?

lowasa mwenye uzoefu wa ccm miaka karibia 50 amenawa mikono na yeye alikua ndan ya ccm , uyo mbuzi anaepungia miti ndo unasema amechangamsha uchaguzi? mbna mshindi anajulikana mpaka 2100

Sijazungumzia mshindi. Soma tena. Mshindi chaguzi za Tanzania huwa anajulikana; hilo sio suala.
 
Hakuna cha kuijua au kutoijua CCM. Wala sijaandika kwa hisia zozote. Nimekupa fact tu. Kila mtu anajua Magufuli atatangazwa mshindi. Haina mjadala. 2015 Lowassa hata kwa kutoongea sana alipata kura nyingi kutokana na raia wengi kuichoka CCM kama ulivyosema. Hakupewa ushindi.

2020 raia ndio wameichoka CCM vibaya sana. KIBAYA ZAIDI, CHADEMA imemteua “kichaa” Lissu ambaye atatoa dozi ya maumivu kwa mgombea wa CCM kiasi kwamba hata ushindi ukitangazwa utakuwa wa kuugulia. Hilo halikwepeki safari hii labda ipatikane namna ya kumuengua TL kwenye kugombea.
Weka alama huu uzi, nakwambia angalia figisu tu hapo jana Hai
 
Siyo akishindwa, Lissu keshashindwa kabla ya siku ya uchaguzi, wengine hata pressure hatuna maana tunajua hata 20% ya kura hatapata.

Kama unalala sebuleni ... dada ako yuko na shemeji ako chumbani presha unatoa wapi sasa ndugu
 
Kuna misitu mikubwa tu huko, Lindi, Morogoro, ikishindikana kwa Sanduku, Hatutakua na budi
 
Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana 🔥 sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
Nguvu ya UMMA itamtoa Magu Ikulu kama namna ambavyo Laurent Bagbo alivyotolewa.

Magufuli hata 2015 hakushinda. Mipango ya kuiba kura ilifanywa na Modest Kapilimba alipotolewa BOT na kupelekwa NEC siku mbili baada ya kupiga kura. HATIMAYE akazawadiwa kuwa DG -TISS
 
Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana 🔥 sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
mkuu mpaka wanaingia kwenye mapambano wanayatambua na tiyari wana mwarobain wa hayo , hapa cha msingi wapinzani washindwe kwa haki sawa , ila mkifanya mazoea ya kila siku kwamba ushindi ni lazima , mtakipata cha mtema kuni , iccc wataenda wengi tu kwa sasa moto wa kimbunga 2020 ,utawapitia wengi tu wasipokua makini
 
Ni wazi kwa joto lililopo huku mtaani Lissu ATASHINDA kwa over 60% isipokuwa anaweza KUTOTANGAZWA.

kifuatacho?

hata mimi sijui.... so, naungana na wewe kuuliza swali kama lako!

Natamani kujua umri wako
 
Kwanza lazima ukubali kwa hata akishinda au akishindwa iwe kwa halali au dhulma,basi Lissu hatakuwa wa kwanza kufanya hivyo.Japo kila anaeenda shambani matarajio yake ni kuvuna.hapo hujafikiria mbinu bora au hafifu za kilimo.kila jambo,kitu kina upeo wake.MBONA HUSEMI MAGUFULI AKISHINDWA ITAKUWAJE kwa sababu hapo ndipo penye shida.Magufili anaemiliki vyombo vyote vya dola.
 
Haaaa haaaa Lisu apewe nchi . Kweli ? Chadema subiri mziki uanze tatizo mkiona tu watu wanashangaa Shangaa mihemko kibao . Magu ni mziki mwingine bado sha
 
TUNDU HAWEZI KUSHINDA KWA NAMNA YOYOTE. Nimeandika kwa herufi kubwa ili kuonesha msisitizo
 
Kwanza lazima ukubali kwa hata akishinda au akishindwa iwe kwa halali au dhulma,basi Lissu hatakuwa wa kwanza kufanya hivyo.Japo kila anaeenda shambani matarajio yake ni kuvuna.hapo hujafikiria mbinu bora au hafifu za kilimo.kila jambo,kitu kina upeo wake.MBONA HUSEMI MAGUFULI AKISHINDWA ITAKUWAJE kwa sababu hapo ndipo penye shida.Magufili anaemiliki vyombo vyote vya dola.
Magufuli hawezi kushindwa kabisa hii ni ndoto ya mchana
 
TUNDU HAWEZI KUSHINDA KWA NAMNA YOYOTE. Nimeandika kwa herufi kubwa ili kuonesha msisitizo
Lisu atashindia kwenye box la kura tu lakini kamwe hawez tangazwa mshindi
 
Magufuli hawezi kushindwa kabisa hii ni ndoto ya mchana
Unahisi atakuwa wa kwanza.kuna waliokaa madarakani miaka 30 na wakati uliongea wakaondoka.kuna mambo ambayo machoni pa mtu yanaonekana km magumu san kutokea lakini katika hali ya kushangaza na isiyotegemewa hutokea.
 
Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana [emoji91] sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
Magufuli alisema urais mgumu na amechoka mboa kagombea tena bad enough kakataza wenzake wasichukue form?
 
Back
Top Bottom