Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 5,122
- 5,104
lowasa mwenye uzoefu wa ccm miaka karibia 50 amenawa mikono na yeye alikua ndan ya ccm , uyo mbuzi anaepungia miti ndo unasema amechangamsha uchaguzi? mbna mshindi anajulikana mpaka 2100
Sijazungumzia mshindi. Soma tena. Mshindi chaguzi za Tanzania huwa anajulikana; hilo sio suala.