Uchaguzi 2020 Hivi Tundu Lissu akishindwa mtafanya nini?

Uchaguzi 2020 Hivi Tundu Lissu akishindwa mtafanya nini?

Nakumbuka 2015 mkoa huu nilipo siku kadhaa kabla ya uchaguzi walileta fieldforce wengi mno hadi kambi ilijaa wakafungiwa na ma hema kutwa wanafanya mazoezi ..zilikuja basi kadhaa ....

Nawaza walileta kwa ajili gani ...

Haya kama ni vurugu je kina nani wangeleta ,, moja kwa moja ni upinzani ...kwa hiyo inamaana waliyajua matokeo🤔
 
Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana [emoji91] sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
Jiulize pia bana yule akidondoka itakuwje
 
Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana [emoji91] sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
Hatoshinda pamoja na mbwembwe zote. Wa TZ wanajielewa sana.
 
Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana 🔥 sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
[/QUO
Na akishinda mtafanyaje?
Pili unasema umeacha siasa 2015 na hii ni 2020 unazungumzia siasa,umeacha vipi wakati bado unaiongelea?
 
Siyo akishindwa, Lissu keshashindwa kabla ya siku ya uchaguzi, wengine hata pressure hatuna maana tunajua hata 20% ya kura hatapata.
Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana [emoji91] sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
 
Ni wazi kwa joto lililopo huku mtaani Lissu ATASHINDA kwa over 60% isipokuwa anaweza KUTOTANGAZWA.

kifuatacho?

hata mimi sijui.... so, naungana na wewe kuuliza swali kama lako!
Joto la Lisu naona mtandaoni tu huku napokaa upinzani tunaona bendera za Kina Lipumba na Act kwa sana
 
Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana 🔥 sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
Mabeberu wanaweza wakamuua maana kala hela zao na aliwahakikishia ushindi na hali inavyoonekana atashindwa, so they will kill him ili watafute kiki ya kuleta mapigano, ingawa hiyo move haitofanikiwa maana kila mtanzania anajua kabisa katumwa with a mission so his death will justify wazo la mabeberu na hakuna mtanzania atakaye sympathise na msaliti, Lisu will die in the hands of mabeberu na watanzania tutamsahau na kumzika as if kafa inzi.
 
Ndivyo ccm wanabyojaribu kuwadanganya watu. Ccm ifanye fujo halafu waseme ni Lissu ameleta na waaminishe watu kuwa ni kwa kuwa yeye ana Belgium! Kwani ni nani alimpeleka huko? Si ni ccm hiyohiyo?
 
Mabeberu wanaweza wakamuua maana kala hela zao na aliwahakikishia ushindi na hali inavyoonekana atashindwa, so they will kill him ili watafute kiki ya kuleta mapigano, ingawa hiyo move haitofanikiwa maana kila mtanzania anajua kabisa katumwa with a mission so his death will justify wazo la mabeberu na hakuna mtanzania atakaye sympathise na msaliti, Lisu will die in the hands of mabeberu na watanzania tutamsahau na kumzika as if kafa inzi.
Hii nakataa kabisa, au mimi ndio una mission hizo?
 
Pole sana,umezungumza kwa hisia kali sana ila kumbuka Lowasa anaijua CCM ndani kabisa hadi kwenye maini, alikua na ushawishi mkubwa sana ndani ya ccm na nje ya CCM alikusanya umati sana lakini aliishia wap?

Kipindi cha Lowasa ndio ilikua nafasi ya kuitoa ccm kwa sababu kula raia alikua ameichoka ccm kiasi kwamba hata ungeweka malaika pale ccm agombee watu wangemkataa tu.

Lisu yeye anaijua? Nachoshukuru kuwa unajua kabisa unapigana lakini hushindi hapo tuko pamoja.

Hakuna cha kuijua au kutoijua CCM. Wala sijaandika kwa hisia zozote. Nimekupa fact tu. Kila mtu anajua Magufuli atatangazwa mshindi. Haina mjadala. 2015 Lowassa hata kwa kutoongea sana alipata kura nyingi kutokana na raia wengi kuichoka CCM kama ulivyosema. Hakupewa ushindi.

2020 raia ndio wameichoka CCM vibaya sana. KIBAYA ZAIDI, CHADEMA imemteua “kichaa” Lissu ambaye atatoa dozi ya maumivu kwa mgombea wa CCM kiasi kwamba hata ushindi ukitangazwa utakuwa wa kuugulia. Hilo halikwepeki safari hii labda ipatikane namna ya kumuengua TL kwenye kugombea.
 
Back
Top Bottom