Nakumbuka 2015 mkoa huu nilipo siku kadhaa kabla ya uchaguzi walileta fieldforce wengi mno hadi kambi ilijaa wakafungiwa na ma hema kutwa wanafanya mazoezi ..zilikuja basi kadhaa ....
Nawaza walileta kwa ajili gani ...
Haya kama ni vurugu je kina nani wangeleta ,, moja kwa moja ni upinzani ...kwa hiyo inamaana waliyajua matokeo🤔
Nawaza walileta kwa ajili gani ...
Haya kama ni vurugu je kina nani wangeleta ,, moja kwa moja ni upinzani ...kwa hiyo inamaana waliyajua matokeo🤔