Uchaguzi 2020 Hivi Tundu Lissu akishindwa mtafanya nini?

Uchaguzi 2020 Hivi Tundu Lissu akishindwa mtafanya nini?

Inaelekea wewe uko kwenye mradi wa kutaka kumuepusha Magufuli na ukweli wa ushindani katika uchaguzi huu. Yaani asishuhudie ukweli wa matokeo halisi ya kura hata kama zitapuuzwa na yeye kutangazwa mshindi. Mtu aliye na “obsession” ya kupendwa, kusikilizwa peke yake na kuabudiwa hupata maumivu makali akijionea uthibitisho kuwa kiuhalisia anachukiwa na kudharauliwa sana. Na kwamba amezungukwa na wanafiki wachumia tumbo kibao ambao baadhi yao pia hushiriki “siri” ya kuficha matokeo halisi na kutumia mabavu kumtangazia ushindi feki.

Umesema kweli: CCM “watashinda kwa kishindo” lakini hawatakwepa maumivu ya “forgery” hiyo. Na duniani hakuna siri ya zaidi ya mtu mmoja. Hivyo, jua kuwa wapinzani hawajajitoa fahamu kama unavyofikiri, bali wanataka kutoa dozi kali ya maumivu kwa Magufuli na CCM yake pengine kuzidi chaguzi zilizopita ili kuongeza mtafaruku ndani ya chama na serikali vinavyosimama kwa nguvu ya dola. And, who knows? Labda huo muujiza wanaojinasibu nao wapinzani unaweza kutokea safari hii!

Kwa sisi wengine, haijalishi kama Lissu anatangazwa mshindi au la, bali ni ule msisimko wa mchakato wenyewe wa uchaguzi mkuu na “impact” yake kwa saikolojia ya watawala na Watanzania kwa ujumla. Ujio wa Lissu umechangamsha uchaguzi huu kwa namna yake. Vinginevyo tungeupuuza kabisa. Manake ingekuwa ni mwendo wa kuhubiriwa injili ya upande mmoja tu. Very boring. Hapa ndipo unapoweza kutumia ule usemi wa “raha ya safari ni mwendo, mandhari, mikao na mitikisiko njiani na SI kufika”.


lowasa mwenye uzoefu wa ccm miaka karibia 50 amenawa mikono na yeye alikua ndan ya ccm , uyo mbuzi anaepungia miti ndo unasema amechangamsha uchaguzi? mbna mshindi anajulikana mpaka 2100
 
Awamu ya nne wengine tulikuwa na cdm ya Slaa. Na cdm ikashindwa na ccm maisha yaliendelea. Mwaka 2015 Lissu na genge lake walipompangishia EL chama tukalisongesha na JPM wa CCM maisha ya liendelea. Iweje leo uulize swali hili?
 
Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana 🔥 sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
Hashindwi, na Magu akishindwa mtafanyaje
 
Ashindwe kwenye Uchaguzi HURU na wa HAKI. Kuwepo na UWAZI wa kuhesabu kura na kura zihesabiwe HADHARANI.

Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana 🔥 sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
 
Lissu atapata kura za kumpa ushindi hiloka halina mashaka ila hatatangazwa, tofauti na Lowasa yeye Hatakubali. Kitakachotokea kinategemea support atakayopata kutoka kwa wanachadema/wananchi.
 
Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana 🔥 sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
Ukiwa muongo basi uwe na kumbukumbu. Ungeacha siasa usingeuliza kuhusu mustakabali wa Lissu pekee bali na wa Magufuli pia...because either could lose the election, at least theoretically!
 
Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana [emoji91] sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
Kwa nini wa upande wa pili wasifikirie kushindwa
 
Akishindwa kihalali tutakubaliana na matokeo, lakini CCM wakishindwa kihalali watakimbilia mstuni.
 
Inaelekea wewe uko kwenye mradi wa kutaka kumuepusha Magufuli na ukweli wa ushindani katika uchaguzi huu. Yaani asishuhudie ukweli wa matokeo halisi ya kura hata kama zitapuuzwa na yeye kutangazwa mshindi. Mtu aliye na “obsession” ya kupendwa, kusikilizwa peke yake na kuabudiwa hupata maumivu makali akijionea uthibitisho kuwa kiuhalisia anachukiwa na kudharauliwa sana. Na kwamba amezungukwa na wanafiki wachumia tumbo kibao ambao baadhi yao pia hushiriki “siri” ya kuficha matokeo halisi na kutumia mabavu kumtangazia ushindi feki.

Umesema kweli: CCM “watashinda kwa kishindo” lakini hawatakwepa maumivu ya “forgery” hiyo. Na duniani hakuna siri ya zaidi ya mtu mmoja. Hivyo, jua kuwa wapinzani hawajajitoa fahamu kama unavyofikiri, bali wanataka kutoa dozi kali ya maumivu kwa Magufuli na CCM yake pengine kuzidi chaguzi zilizopita ili kuongeza mtafaruku ndani ya chama na serikali vinavyosimama kwa nguvu ya dola. And, who knows? Labda huo muujiza wanaojinasibu nao wapinzani unaweza kutokea safari hii!

Kwa sisi wengine, haijalishi kama Lissu anatangazwa mshindi au la, bali ni ule msisimko wa mchakato wenyewe wa uchaguzi mkuu na “impact” yake kwa saikolojia ya watawala na Watanzania kwa ujumla. Ujio wa Lissu umechangamsha uchaguzi huu kwa namna yake. Vinginevyo tungeupuuza kabisa. Manake ingekuwa ni mwendo wa kuhubiriwa injili ya upande mmoja tu. Very boring. Hapa ndipo unapoweza kutumia ule usemi wa “raha ya safari ni mwendo, mandhari, mikao na mitikisiko njiani na SI kufika”.
Kwa kusema ujio wa Lissu umechangamsha uchaguzi huu, kwa kweli NI KUTOWATENDEA HAKI akina Zitto, Membe, Maalim na wagombea wengine wote kwenye ngazi ya Urais. yaani hao wengine si kitu kwenye uchaguzi huu au vipi? Naona sikuelewi!
 
Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana 🔥 sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
Kwa hiyo CCM wanashinda kwa sababu ya tume??
 
Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana 🔥 sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
Tume haipangi matokea; inajumulisha kura na kuzitangaza. Kwenye vituo vya kura, kila chama kina wakala ambao ndio wanatakaiwa kuwa kura zinahesabiwa vizuri kusudi tume ikizijumulisha itoe mshindi wa halali. Kuna uwezekanao wa mawakala watatu: (a) walio makini kuhakikisha kura zote zinahesbaiwa vizuri na kwa uwazi; (b) wasikuwa makini lakini wana harakati ambao wako pale kuhakikisha chama chao kinashidna na iwapo idadi ya kura haitoonyesha hivyo, basi watalalamika kuibiwa kura bila hata ushahdi wowote; (c) mawakaa wasiokuwa makini kabisa ambao hawajui hata kazi yao bali wapo wapo tu. Kuwapo kwa mawakala wazuri wa aina ya (a) hapo juu ni jambo la muhimu sana kuhakikisha uchaguzi wa amani ambapo walioshindwa wanakubali na maisha yanaendelea badala ya kuanza malalamiko yanayogawa watu.
 
Mwanaume hawezagi kuanzisha hizi maada za kuogopa ogopa, Tutahamia kwako dada
 
Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana 🔥 sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
CCM hawawezi kushinda bila bao la mkono na likitokea nchi itayumba.
 
Vichekesho vingine bwana ni hatari sana. Ww unasema uliacha siasa kwa sababu alizozitaja, halafu unawashauri wengine wawaachie tu ccm kisa ww ulishakata tamaa!

Ni sawa na kama umefeli mtihani wa hisabiti kwakuwa hukuwa na mwalimu mzuri, kisha utake na wengine waachane na hilo somo kwa matamanio yako.

Kama wewe umeacha siasa, nenda jukwaa la mapenzi, waachie wanaotaka kuendelea na siasa. Huyo aliyekuagiza kuwa mbinu hii itawabeba ccm, mwambie watu wameishia kukuchora tu.
Kama nilifeli hesabu kwa kukosa mwalimu mzuri nitashauri wanafunzi watafute mbinu nyingine wafaulu ila sio mbinu niliyotumia mm kufeli....yaan watz hawana mbinu mbadala wa kuitoa ccm madarakani.

Kama wangekuwa waarabu ningesema lolote laweza kutokea kama ilivyokuwa Pakistan. Huyu katangaza kashinda na huyu anajitanfaza kashinda,huyu anaapishwa hapa huyu anaapishwa kule yani full ubabe. Lakini kwa watz mpaka 20100 labda
 
Huna jeuri hiyo,labda hapo nyuma ya keyboard yako tu lakini sio rod
Mwambieni babu yenu jiwe safari hii akileta figisu watu hao tunajaa road, kila mtu ashinde mechi zake bila figisu!
 
Inaelekea wewe uko kwenye mradi wa kutaka kumuepusha Magufuli na ukweli wa ushindani katika uchaguzi huu. Yaani asishuhudie ukweli wa matokeo halisi ya kura hata kama zitapuuzwa na yeye kutangazwa mshindi. Mtu aliye na “obsession” ya kupendwa, kusikilizwa peke yake na kuabudiwa hupata maumivu makali akijionea uthibitisho kuwa kiuhalisia anachukiwa na kudharauliwa sana. Na kwamba amezungukwa na wanafiki wachumia tumbo kibao ambao baadhi yao pia hushiriki “siri” ya kuficha matokeo halisi na kutumia mabavu kumtangazia ushindi feki.

Umesema kweli: CCM “watashinda kwa kishindo” lakini hawatakwepa maumivu ya “forgery” hiyo. Na duniani hakuna siri ya zaidi ya mtu mmoja. Hivyo, jua kuwa wapinzani hawajajitoa fahamu kama unavyofikiri, bali wanataka kutoa dozi kali ya maumivu kwa Magufuli na CCM yake pengine kuzidi chaguzi zilizopita ili kuongeza mtafaruku ndani ya chama na serikali vinavyosimama kwa nguvu ya dola. And, who knows? Labda huo muujiza wanaojinasibu nao wapinzani unaweza kutokea safari hii!

Kwa sisi wengine, haijalishi kama Lissu anatangazwa mshindi au la, bali ni ule msisimko wa mchakato wenyewe wa uchaguzi mkuu na “impact” yake kwa saikolojia ya watawala na Watanzania kwa ujumla. Ujio wa Lissu umechangamsha uchaguzi huu kwa namna yake. Vinginevyo tungeupuuza kabisa. Manake ingekuwa ni mwendo wa kuhubiriwa injili ya upande mmoja tu. Very boring. Hapa ndipo unapoweza kutumia ule usemi wa “raha ya safari ni mwendo, mandhari, mikao na mitikisiko njiani na SI kufika”.
Pole sana,umezungumza kwa hisia kali sana ila kumbuka Lowasa anaijua CCM ndani kabisa hadi kwenye maini, alikua na ushawishi mkubwa sana ndani ya ccm na nje ya CCM alikusanya umati sana lakini aliishia wap?

Kipindi cha Lowasa ndio ilikua nafasi ya kuitoa ccm kwa sababu kula raia alikua ameichoka ccm kiasi kwamba hata ungeweka malaika pale ccm agombee watu wangemkataa tu.

Lisu yeye anaijua? Nachoshukuru kuwa unajua kabisa unapigana lakini hushindi hapo tuko pamoja.
 
Back
Top Bottom