Uchaguzi 2020 Hivi Tundu Lissu akishindwa mtafanya nini?

Uchaguzi 2020 Hivi Tundu Lissu akishindwa mtafanya nini?

Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana 🔥 sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
Mnapima upepo mwaka huu hatutakubali Jechaism tena.
 
Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana 🔥 sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
Mbona hamtupi majibu na magufuli akishindwa
 
Nchi kama ina Viongozi wenye Utu wamshauri alieshikilia madaraka kwamba akishindwa aachie ngazi.Hatutaki kuongozwa na viongozi watakaoingia madarakani huku mikono yao imejaa damy za Watanzania.
 
Mkuu Chadema wanafahamu kabisa kuwa Lisu anakwenda kupoteza na kwakua wamekosa mgombea mwenye mvuto toka CCM ndio maana wakampa gunia la misumari alibebe kwa gia ya hoja ya Risasi.
 
Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana 🔥 sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.

Siasa sio kushinda na watu. Kama una wananchi hata kama ukishidwa haisaidii CCM haiwezi kutoka bado hata kama wakishidwa kura. Mandela alikuwa na watu wakati yupo jela na kulikuwepo na rasi na utawala mwingine!!!
 
........

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
Kicharazio cha sim😁😁😁
 
Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana 🔥 sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
Mkuu hawa wanajiliwaza tu. Wanajua tu kuwa Lissu hata asilimia 10 hafikishi.
 
Asiyependa kushindwa sio mshindani..Ukishindana NI mawili..
ushide au ushindwe..full stop
 
Nilipanga kutopiga kura lakini mara hii kwenye foleni nipo hata kama ni kutwa nzima
 
Kiukweli chadema watashindwa na ole wao wadanganyane kuingia barabarani, yaani kabla hata ffu hawajaingia kitaa sisi wananchi tutakua front line kuwatia vilema
 
Ikawaje sasa akarekebisha sheria juu ya Arbitration? Si ameishia kusalimu amri na kuruhusu zifanyike mahakama za kimataifa sio Tz pekee.

Sema tu ana jeuri ila sio kwamba eti amewa defy. Kma ana hyo jeuri kwanini aliomba mabeberu wamfutie madeni kisa Corona? Kwanini aliomba mabeberu waje kwenye utalii sababu Corona imeisha? Si angesema tu hahitaji pesa zao.

Hya aliwaita Barrick wezi ila ameishia kuwa mbia wao? Si angewafutia kibali tu aanzishe kampuni ya weusi watupu?

Haingii akilini unasema wanakuhujumu afu hapo hapo SGR unajenga kwa mikopo yao na wakandarasi wao.

Waliosema ameingia uchumi wa kati ni hao hao mabeberu na ccm mkaanza kelele mitandaoni. Hvi mtu anayewahujumu mnakubali vp takwimu zake?

Magufuli mnamkuza sana ila sijaona hta kimoja alichowaweza hao "Mabeberu"

Kutuaminisha hakuna korona aisee kaweza jamaa
 
Kiukweli chadema watashindwa na ole wao wadanganyane kuingia barabarani, yaani kabla hata ffu hawajaingia kitaa sisi wananchi tutakua front line kuwatia vilema
🤪🤪🤪
 
Poleni wanasiasa wa pande zote.

Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana [emoji91] sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.

Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.

Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.

Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?

Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
Kama wewe ni mtanzania huu msemo hapo chini sio mpya kwako.


"ASIYEKUBALI KUSHINDWA SI MSHINDANI"
 
Waambie baba CCM wapo nyuma ya pazia wanapanga yao wao wapo huku wanapigishana kelele na wananchi utadhani wananchi wanaamua kumbe kuna kikundi cha watu wapo eneo ndio waamuzi wakuu hawa wakitaka kukupora jimbo ni dakika tu.
Kwa akili hizi mtatawaliwa na ccm hadi mkome
 
Back
Top Bottom