Uchaguzi 2020 Hivi Tundu Lissu akishindwa mtafanya nini?

Nakubaliana na ww, bado maisha hayajawa magumu hivyo...ila nafasi hiyo alikua nayo Lowassa 2015( wamachinga) akashindwa kuitumia. Magufuli ameingia akawapa uhuru wa kufanya biashara. Nani aandamane?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…