Hahhaah. Yaani kabisa ulikaa kutegemea wabongo wakinukishe kisa Halima Mdee kakosa ubunge?
Wabongo mikwala mingiii.
Wewe ukitaka tukinukishe maisha yawe magumu. Bado maisha sio magumu. Ugali upo bado. Life likiwa gumu unga hakuna njaa siku tatu hata wewe sweet kidume unayetumia jina la kike utaingiza makalio bara barani tu. Kama moroko