Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #21
Taasisi gani wakati yeye mwenyewe hana shughuli ya kumuingizia kipato? Je hiyo akili ya kukifanya chama kujitegemea atatoa wapi?Tundu Lissu anataka akitoe chama kwenye ulimwengu wa kumtegemea mtu mmoja kukiendesha na kukifanya kuwa taasisi inayoweza kujitegemea na kuwa vyanzo vyake vya mapato.
Kwa hiyo Elimu Yako hata nikikuelezea Wiki nzima hautaelewa 😂😂😂Acha ulevi mzee😀😀vitabu gani anavyowauzia UN?
Comrade, huwezi kuhangaika kutaka kujua maisha ya wenzako, na wakati maisha yako tu yanakushinda. Au ulishawahi kumuona huyo Mh. Tundu Lissu akijigeuza kuwa CHAWA, kama ufanyavyo wewe!!Hivi haya uliyoyaandika ndio jibu la swali langu? Umeishia darasa la ngapi? Ndiivyo mwalimu wako alikufundisha ujibuji wa maswali?
Maarifa gani hayo anayouza?Kwa hiyo Elimu Yako hata nikikuelezea Wiki nzima hautaelewa 😂😂😂
Lisu anauza Maarifa siyo boss wako Sugu na hako kahoteli ka Kikinga 😂😂
Hapana Mbweni washua tupu ,MAMA KIZIMKAZI na HAPA ipo.Hapo Mbweni Watoto wadogo ndio wanajenga hizo takataka bwashee 😂😄😂
Yeriko hapo Kigamboni boss Wao Mwijaku na Joti 😄😄🐼
Swali lipo wazi kabisa kuwa lissu anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato? Sasa nini kinakushinda kujibu swali hilo?Comrade, huwezi kuhangaika kutaka kujua maisha ya wenzako, na wakati maisha yako tu yanakushinda. Au ulishawahi kumuona huyo Mh. Tundu Lissu akijigeuza kuwa CHAWA, kama ufanyavyo wewe!!
Au hufahamu maana ya mtu kuitwa/kujiita CHAWA? Maana yake hana maisha yake binafsi, isipokuwa huishi kwa kutegemea hisani ya watu wengine. Na wewe ni mfano halisi wa kiumbe anayeitwa CHAWA! Na kama unabisha, sema nimuite rafiko yako CHIEF PRIEST!!
Tundu Lissu ni wakili msomi na leseni yake ya uwakili iko valid.Taasisi gani wakati yeye mwenyewe hana shughuli ya kumuingizia kipato? Je hiyo akili ya kukifanya chama kujitegemea atatoa wapi?
Mpaka utakapoeleza mbowe ni lini alitoa fedha yake bure bure kugaia chama, yawezekana mbowe anazo fedha kwenye account yake binafsi lakini kwenye chama mbowe hadai ata shilingi 1.Nataka ujibu swali Kuwa ni shughuli gani anayoifanya lissu kwa sasa ya kumuingizia kipato?
Siyo kweli mdogo wangu.kwanza haziitwi bodaboda.zinaitwa pikipiki.Kaka kwanza pole nasikia ulipata ajali na bodaboda ya chama.!!
hapa huwezi kupata majibu ya uhakika mkuu nikushauri nenda kamuhoji mwenyewe bado yupo hai.Nataka ujibu swali Kuwa ni shughuli gani anayoifanya lissu kwa sasa ya kumuingizia kipato?
Wewe team FAM, hatuchagui mfadhili wa chama, tunachagua mwenyekiti wa chama. Mbowe kama anazo hela, abaki kuwa mfadhili na mjumbe wa mkutano mkuu wa kudumuNdugu zangu Watanzania,
Sitaki Mimatusi wala mikelele wala mimaneno mingi wala blaa blaa wala porojo wala Mihemuko wala ukurupukaji katika andiko hili ambalo lipo wazi kabisa .
Nauliza hivi Tundu lissu kwa sasa anafanya kazi gani ya kumpatia kipato .inayoweza kumfanya akisaidie hata chama kama ambavyo amekuwa akifanya Mheshimiwa Mbowe Mwamba na Jabali la siasa za upinzani hapa Nchini?
Maana kukaa bila shughuli ya kumuingiza kipato ni rahisi sana hata kununuliwa na mabeberu kwa mambo yaliyo kinyume na sheria za Nchi yetu.
Soma Pia: Itakuwa ni uwendawazimu mkubwa kwa CHADEMA kumpa Lissu uenyekiti na kumuacha mwamba Mbowe
Swali lipo wazi na wala haihitaji maelezo marefu wala matusi.Kwa hiyo ningependa Wafuasi wa lissu mjibu swali hilo.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
mbowe kama ana fedha hizo kwanini arambe asali? kwanini abduli, lissu anawajuwa waliorambishwa asali ila amemtaja Wenje tu kwanza na wenje hajakaa kula mlungula
Swali la aina hii alitakiwa kuuliza mjukuu wangu ephen_!! Labda ningemuona ana sababu. Sasa wewe mtoto wa kiume, unataka vipi kufahamu shughuli za mwanaume mwenzako!! Huoni una shida mahali?Swali lipo wazi kabisa kuwa lissu anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato? Sasa nini kinakushinda kujibu swali hilo?
Utajuaje na wewe akili yako inatosha tu kusifia wenye nazo ili wakutupie makombo toka mezani kwao? Umejipendekeza kwa Samia,Tulia Ackson, Makonda,Kafulila ,wote wamekupotezea baada ya kusikia Mbowe kadakishwa b12 na Mama Abdul sasa umehamia kwa Mbowe,utasugua sana benchi wewe mjinga.Maarifa gani hayo anayouza?
Akili matope kumuabudu mtu,King Kong kumbe na wewe ni chawa wa Sultan,so.sad.
Mmmmm hizo si ndio anasema amewekeza na anajilipa kwa riba ???"Imemchukua karibia miezi nane lissu kutafuta milioni 80 kwa ajili ya michango ya gari,lakini mbowe ndani ya dakika 0 alichangia chama milioni 250 fedha zake kutoka mfukoni" - Wenje
Lissu anaongelea machafu ya Chadema hadharani kwani nia yake akayasafishe,mambo ya kuficha fiche uozo hiyo ni staili ya CCM.Mimi naitakia mema CDM iendelee ,ila TAL siasa zake ni za kukiponda chama ,kuogelea mabaya ya viongozi bila ushahidi...watu wameuawa kwenye harakati za kukijenga CDM hata yeye TAL anatembea na risasi kwa ajili ya kukulinda CDM ,sasa matendo anayofanya hayana afya kwa CDM ,kama ulimsikiliza vizuri Malisa utanielewa.