kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Huyu mtu bwana hana shukrani,
Yeye mwenyewe kwa kinywa chake aliwahi kukiri kuwa yeye na Magufuli waliwahi kuwa marafiki wazuri tu siku za huko nyuma na kuna majina yao ya utani nimeyasahau walikua wanaitana.
Mara ghafla Magufuli alivyokua Rais Lissu akaanza uchokozi wa kumtukana Magufuli bila sababu za msingi.
Kilichotokea mimi na wewe msomaji tunakijua ila aliyemfanyia hayo madhira Lissu sio Magufuli kama ambavyo Lissu amekua akimaintain mpaka leo.
Then Mbowe na Viongozi wenzake wa CHADEMA kwa moyo mkunjufu na wa upendo walifanya kila liwezekanalo kuhakikisha Lissu anapata matibabu kwa haraka na kwa gharama yoyote ili kuokoa maisha yake.
Lakini leo Lissu huyu huyu anatumika kumchafua mheshimiwa Mbowe.
Daktari Samia alipoteza muda wake kwenda kumjulia hali Lissu pale Nairobi hospital, lakini leo Mama yetu huyu kipenzi nae anaoga matusi kila siku kutoka kwa huyu mtu.
Hivi huyu Lissu ni mtu wa aina gani asiye na shukrani kwa watu wanaomsaidia?
Yeye mwenyewe kwa kinywa chake aliwahi kukiri kuwa yeye na Magufuli waliwahi kuwa marafiki wazuri tu siku za huko nyuma na kuna majina yao ya utani nimeyasahau walikua wanaitana.
Mara ghafla Magufuli alivyokua Rais Lissu akaanza uchokozi wa kumtukana Magufuli bila sababu za msingi.
Kilichotokea mimi na wewe msomaji tunakijua ila aliyemfanyia hayo madhira Lissu sio Magufuli kama ambavyo Lissu amekua akimaintain mpaka leo.
Then Mbowe na Viongozi wenzake wa CHADEMA kwa moyo mkunjufu na wa upendo walifanya kila liwezekanalo kuhakikisha Lissu anapata matibabu kwa haraka na kwa gharama yoyote ili kuokoa maisha yake.
Lakini leo Lissu huyu huyu anatumika kumchafua mheshimiwa Mbowe.
Daktari Samia alipoteza muda wake kwenda kumjulia hali Lissu pale Nairobi hospital, lakini leo Mama yetu huyu kipenzi nae anaoga matusi kila siku kutoka kwa huyu mtu.
Hivi huyu Lissu ni mtu wa aina gani asiye na shukrani kwa watu wanaomsaidia?
