Mtu akitaka kunifukuza kwa maharage na dagaa anajisumbua.....hizo ni mboga favorites zangu....vyovyote utakavyopika bora usiniwekee mchanga tu...[emoji2][emoji2][emoji2]Hauna faida yeyote basi tu ni roho ya mtu ilivyo mbaya au utakuta mwanamke kaolewa ndugu wa mume wakija mwendo wa maharage tu na dagaa mpaka waondoke
Kuna mamaangu mkubwa huwa akiniona nilipo sasa kimaisha haamini kiasi kwamba analiaga tu, alinisumbua sana kipindi cha ukuaji wangu!Wengi wa watu wa namna hii mwisho wao huwa msongo wa mawazo na magonjwa ya moyo. Roho mbaya ni sumu inayoanza na mhusika mwenyewe siku zote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mamaangu mkubwa huwa akiniona nilipo sasa kimaisha haamini kiasi kwamba analiaga tu, alinisumbua sana kipindi cha ukuaji wangu!
Hahahahahahah so we unainjoy ndondo na misumariMtu akitaka kunifukuza kwa maharage na dagaa anajisumbua.....hizo ni mboga favorites zangu....vyovyote utakavyopika bora usiniwekee mchanga tu...[emoji2][emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu apambane na hali yake, sifugi watu nafuga mifugo au ndege kwa faida, unataka kustarehe kwa jasho langu? Utajifunza lini kutafuta maisha? Kama unataka vya bure zipo sehemu mahsusi, unakula unaliwa.Nadhani we ni mmojawapo mwenye tabia ya kipuuzi ukidhani ni sifa. Ishi na watu vizuri wewe...
kwel mkuu watu wa aina hyo wapo sanaZaidi ya mara moja nmeshashuhudia mpita njia anapewa maji ya bomba makusudi. Ilihali ya kuchemshwa yapo, ila ukionekana umempa tu ni msala!
Wala usidhani ni waliokonda pekee ndo wenye hizo roho...wengine wanene haswaaa...afya nzuri...na bado wachoyoooooo! Wana gubuuu....wana wasimanga watu waliomo majumbani mwao!NA WATU WANYE ROHO MBAYA/UCHOYO/UBINAFSI, AFYA ZAO HUWA MGOGORO.. HAWANAWIRI, WANAKONDA MPAKA UNASHANGAA
NAMSHUKURU MUNGU KWA KIASI KIKUBWA SINA HZO MAMBO NA NINAOMBA MKE NTAKAYEMWOA AWE NA ROHO NZURI
Inashangaza sana[emoji134] utasema hela ya matumiz anatoa yeye.. ubaya wa watu wabinafs/wachoyo huwa wanajisahau kwamba kuna cku hawatakuwepo dunian cku1.. sasa hapo malipiz ni kwa watoto waliowaacha..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmekuwa nikishuhudia baadhi ya watu wenye visa kama hivi:
Unakuta mtu ana maindisha misosi, anafunga friji na funguo ili tu watu wasile matunda au maziwa ambayo ni ya familia ambayo hata hajui bei yake.
Anafungia t.v chumbani ili watu wasiangalie akiwa hayupo, anawakalisha watu chini eti wanachafua makochi na sebule.
Ana maindi kuona mtu anainjoy life ile umepumzika tu ataanza visa mradi akukurupue tu ukafanye kazi ambazo sio hata za lazima.
Anamaindisha vitu vidogo sana, mfano anaweza kulizua zogo tu kisa kikombe,sahani au sufuria. Eti hapendi tu litumike na mtu flani.
Hela ipo na inatosha kununua vitu in bulk ila ananunua vitu kwa reja reja tu bila sababu ya msingi na vinapoisha fasta anabwata kwamba kuna misuses.
Gari zipo ila hataki mtu aendeshe makusudi tu, hata kama kuna emergency atakutembeza kwa mguu juani akupandishe daladala au taxi ila gari zipo uani zinanyewa na ndege tu.
Ana hela ila hawezi msaidia hata baba au ndugu zake wa damu, sijui tuite ubahili yani mtu ndugu zake waweza kuwa wana ukata uliopitiliza ila kuwainua hali zao tu asiweze.
Haya ni machache miongoni mwa mengi, najua humu mpo pia watendaji na wahanga...Kuna faida gani mtu ukiwa na tabia ya aina hzo maishani mwako!?
Kazi mnayoNmekuwa nikishuhudia baadhi ya watu wenye visa kama hivi:
Unakuta mtu ana maindisha misosi, anafunga friji na funguo ili tu watu wasile matunda au maziwa ambayo ni ya familia ambayo hata hajui bei yake.
Anafungia t.v chumbani ili watu wasiangalie akiwa hayupo, anawakalisha watu chini eti wanachafua makochi na sebule.
Ana maindi kuona mtu anainjoy life ile umepumzika tu ataanza visa mradi akukurupue tu ukafanye kazi ambazo sio hata za lazima.
Anamaindisha vitu vidogo sana, mfano anaweza kulizua zogo tu kisa kikombe,sahani au sufuria. Eti hapendi tu litumike na mtu flani.
Hela ipo na inatosha kununua vitu in bulk ila ananunua vitu kwa reja reja tu bila sababu ya msingi na vinapoisha fasta anabwata kwamba kuna misuses.
Gari zipo ila hataki mtu aendeshe makusudi tu, hata kama kuna emergency atakutembeza kwa mguu juani akupandishe daladala au taxi ila gari zipo uani zinanyewa na ndege tu.
Ana hela ila hawezi msaidia hata baba au ndugu zake wa damu, sijui tuite ubahili yani mtu ndugu zake waweza kuwa wana ukata uliopitiliza ila kuwainua hali zao tu asiweze.
Haya ni machache miongoni mwa mengi, najua humu mpo pia watendaji na wahanga...Kuna faida gani mtu ukiwa na tabia ya aina hzo maishani mwako!?
Nmekuwa nikishuhudia baadhi ya watu wenye visa kama hivi:
Unakuta mtu ana maindisha misosi, anafunga friji na funguo ili tu watu wasile matunda au maziwa ambayo ni ya familia ambayo hata hajui bei yake.
Anafungia t.v chumbani ili watu wasiangalie akiwa hayupo, anawakalisha watu chini eti wanachafua makochi na sebule.
Ana maindi kuona mtu anainjoy life ile umepumzika tu ataanza visa mradi akukurupue tu ukafanye kazi ambazo sio hata za lazima.
Anamaindisha vitu vidogo sana, mfano anaweza kulizua zogo tu kisa kikombe,sahani au sufuria. Eti hapendi tu litumike na mtu flani.
Hela ipo na inatosha kununua vitu in bulk ila ananunua vitu kwa reja reja tu bila sababu ya msingi na vinapoisha fasta anabwata kwamba kuna misuses.
Gari zipo ila hataki mtu aendeshe makusudi tu, hata kama kuna emergency atakutembeza kwa mguu juani akupandishe daladala au taxi ila gari zipo uani zinanyewa na ndege tu.
Ana hela ila hawezi msaidia hata baba au ndugu zake wa damu, sijui tuite ubahili yani mtu ndugu zake waweza kuwa wana ukata uliopitiliza ila kuwainua hali zao tu asiweze.
Haya ni machache miongoni mwa mengi, najua humu mpo pia watendaji na wahanga...Kuna faida gani mtu ukiwa na tabia ya aina hzo maishani mwako!?
Roho kushikana na vitu.Unoko tu.
Hapo kwenye Motokaa ndio usiseme.
Kuna baadhi ya wakina Baba, Chombo kipo Nyumbani lakini hawataki Watoto zao kugusa, au japo kuwafundisha.
Au kuwafundisha Wake zao, halafu unakuta wanaishi au wameshaishi Miaka mingi ndani ya Ndoa yao.
Mtu yuko tayari akiwa anaumwa akodiwe Chombo kupelekwa Hospitalini, kuliko kutumiwa Chombo kilicho Nyumbani. Eti kwasababu tu mwenye Chombo chake amepatwa na Maradhi.
Kwa kweli kuna Watu wa ajabu sana hapa Ulimwenguni
Watu wa hivi inabidi uwavumilie sana. Hii ndio sampuli ya watu ambao hata wakienda msalani hawa mwagi maji choo kinakuwa na hali ya kukwaza watakaotumia baadae so msamehe bure tu. Wewe unaelezea tatizo yeye anakuja kukulaumu kama ng'ombe anayetafuta majani haaachi kuwapigia kelele wapita njia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona unani attack, aliekwambia sina vyangu ni nani mkuu?
Bwege kabisa huyoWatu wa hivi inabidi uwavumilie sana. Hii ndio sampuli ya watu ambao hata wakienda msalani hawa mwagi maji choo kinakuwa na hali ya kukwaza watakaotumia baadae so msamehe bure tu. Wewe unaelezea tatizo yeye anakuja kukulaumu kama ng'ombe anayetafuta majani haaachi kuwapigia kelele wapita njia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]