Hivi uchoyo/ubinafsi unafaida gani katika maisha yako ya duniani hapa

Hivi uchoyo/ubinafsi unafaida gani katika maisha yako ya duniani hapa

Hauna faida yeyote basi tu ni roho ya mtu ilivyo mbaya au utakuta mwanamke kaolewa ndugu wa mume wakija mwendo wa maharage tu na dagaa mpaka waondoke
Mtu akitaka kunifukuza kwa maharage na dagaa anajisumbua.....hizo ni mboga favorites zangu....vyovyote utakavyopika bora usiniwekee mchanga tu...[emoji2][emoji2][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi wa watu wa namna hii mwisho wao huwa msongo wa mawazo na magonjwa ya moyo. Roho mbaya ni sumu inayoanza na mhusika mwenyewe siku zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mamaangu mkubwa huwa akiniona nilipo sasa kimaisha haamini kiasi kwamba analiaga tu, alinisumbua sana kipindi cha ukuaji wangu!
 
Nadhani we ni mmojawapo mwenye tabia ya kipuuzi ukidhani ni sifa. Ishi na watu vizuri wewe...
Kila mtu apambane na hali yake, sifugi watu nafuga mifugo au ndege kwa faida, unataka kustarehe kwa jasho langu? Utajifunza lini kutafuta maisha? Kama unataka vya bure zipo sehemu mahsusi, unakula unaliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndy madhara ya kukaa na KAKA...PAMBANA NA HALI YAKO....sidhani km hivyo Vitu vyote ANAFICHIWA MTOTO MDOGO...ni MIJITU NA MIDEVU YAO.....akikaa kwnye TV kuanzia alfajiri hadi SAA NNE za USIKU...ukiweka JUICE AU MATUNDA kwa Fridge WATU wanashindana KUMENYA MACHUNGWA TU na kutupa MAGANDA YA NDIZI...kwann SHEMEJI asifiche VITU?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NA WATU WANYE ROHO MBAYA/UCHOYO/UBINAFSI, AFYA ZAO HUWA MGOGORO.. HAWANAWIRI, WANAKONDA MPAKA UNASHANGAA

NAMSHUKURU MUNGU KWA KIASI KIKUBWA SINA HZO MAMBO NA NINAOMBA MKE NTAKAYEMWOA AWE NA ROHO NZURI
Wala usidhani ni waliokonda pekee ndo wenye hizo roho...wengine wanene haswaaa...afya nzuri...na bado wachoyoooooo! Wana gubuuu....wana wasimanga watu waliomo majumbani mwao!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kukaa kwa mashemeji au mawifi hakujawahi kumwacha mtu salama...
Maisha ni magum sawa ila mtu ukijitegemea kwa kujituma kufanya kaz hata ya kubeba zege ni salama zaid kuliko kukaa na kumtegemea ndugu...Maisha ya manyanyaso kutoka kwa ndugu ndiyo yaliyosababisha niweke degree yangu pembeni na kuanza kubeba zege ambapo nlipata mtaji kupitia kaz hyo na kufanya mambo mengine....
 
Nmekuwa nikishuhudia baadhi ya watu wenye visa kama hivi:
Unakuta mtu ana maindisha misosi, anafunga friji na funguo ili tu watu wasile matunda au maziwa ambayo ni ya familia ambayo hata hajui bei yake.

Anafungia t.v chumbani ili watu wasiangalie akiwa hayupo, anawakalisha watu chini eti wanachafua makochi na sebule.

Ana maindi kuona mtu anainjoy life ile umepumzika tu ataanza visa mradi akukurupue tu ukafanye kazi ambazo sio hata za lazima.

Anamaindisha vitu vidogo sana, mfano anaweza kulizua zogo tu kisa kikombe,sahani au sufuria. Eti hapendi tu litumike na mtu flani.

Hela ipo na inatosha kununua vitu in bulk ila ananunua vitu kwa reja reja tu bila sababu ya msingi na vinapoisha fasta anabwata kwamba kuna misuses.

Gari zipo ila hataki mtu aendeshe makusudi tu, hata kama kuna emergency atakutembeza kwa mguu juani akupandishe daladala au taxi ila gari zipo uani zinanyewa na ndege tu.

Ana hela ila hawezi msaidia hata baba au ndugu zake wa damu, sijui tuite ubahili yani mtu ndugu zake waweza kuwa wana ukata uliopitiliza ila kuwainua hali zao tu asiweze.

Haya ni machache miongoni mwa mengi, najua humu mpo pia watendaji na wahanga...Kuna faida gani mtu ukiwa na tabia ya aina hzo maishani mwako!?



Tupatie mrejesho je huyo MTU anaendeleaje ?

Uchoyo ni kitu kibaya.
 
Nmekuwa nikishuhudia baadhi ya watu wenye visa kama hivi:
Unakuta mtu ana maindisha misosi, anafunga friji na funguo ili tu watu wasile matunda au maziwa ambayo ni ya familia ambayo hata hajui bei yake.

Anafungia t.v chumbani ili watu wasiangalie akiwa hayupo, anawakalisha watu chini eti wanachafua makochi na sebule.

Ana maindi kuona mtu anainjoy life ile umepumzika tu ataanza visa mradi akukurupue tu ukafanye kazi ambazo sio hata za lazima.

Anamaindisha vitu vidogo sana, mfano anaweza kulizua zogo tu kisa kikombe,sahani au sufuria. Eti hapendi tu litumike na mtu flani.

Hela ipo na inatosha kununua vitu in bulk ila ananunua vitu kwa reja reja tu bila sababu ya msingi na vinapoisha fasta anabwata kwamba kuna misuses.

Gari zipo ila hataki mtu aendeshe makusudi tu, hata kama kuna emergency atakutembeza kwa mguu juani akupandishe daladala au taxi ila gari zipo uani zinanyewa na ndege tu.

Ana hela ila hawezi msaidia hata baba au ndugu zake wa damu, sijui tuite ubahili yani mtu ndugu zake waweza kuwa wana ukata uliopitiliza ila kuwainua hali zao tu asiweze.

Haya ni machache miongoni mwa mengi, najua humu mpo pia watendaji na wahanga...Kuna faida gani mtu ukiwa na tabia ya aina hzo maishani mwako!?
Kazi mnayo
 
Imagine mtu anaitwa Angel halafu anakuwa mchoyo.??
Sasa si ungeitwa devil tujue moja.!!
 
Nmekuwa nikishuhudia baadhi ya watu wenye visa kama hivi:
Unakuta mtu ana maindisha misosi, anafunga friji na funguo ili tu watu wasile matunda au maziwa ambayo ni ya familia ambayo hata hajui bei yake.

Anafungia t.v chumbani ili watu wasiangalie akiwa hayupo, anawakalisha watu chini eti wanachafua makochi na sebule.

Ana maindi kuona mtu anainjoy life ile umepumzika tu ataanza visa mradi akukurupue tu ukafanye kazi ambazo sio hata za lazima.

Anamaindisha vitu vidogo sana, mfano anaweza kulizua zogo tu kisa kikombe,sahani au sufuria. Eti hapendi tu litumike na mtu flani.

Hela ipo na inatosha kununua vitu in bulk ila ananunua vitu kwa reja reja tu bila sababu ya msingi na vinapoisha fasta anabwata kwamba kuna misuses.

Gari zipo ila hataki mtu aendeshe makusudi tu, hata kama kuna emergency atakutembeza kwa mguu juani akupandishe daladala au taxi ila gari zipo uani zinanyewa na ndege tu.

Ana hela ila hawezi msaidia hata baba au ndugu zake wa damu, sijui tuite ubahili yani mtu ndugu zake waweza kuwa wana ukata uliopitiliza ila kuwainua hali zao tu asiweze.

Haya ni machache miongoni mwa mengi, najua humu mpo pia watendaji na wahanga...Kuna faida gani mtu ukiwa na tabia ya aina hzo maishani mwako!?

TAFUTA VITU VYAKO ACHANA NA VITU VYA WATU
 
Umeongea ukweli na haya matukio kwa watu ambao wamepitia Maisha ya hama hama na kuishi na ndugu au watu baki ni lazima utakuta wamekutana nayo.

Kimsingi hizi tabia watu wengi hujifunzia tokea utotoni na wachache sana hujifunzia ukubwani.

Ni matokeo ya kuwa na fikra za hofu ya kupoteza. Imagine mtu anawaza utakula matunda as if yalinunuliwa ili yatazamwe. Kama watu wanakula sana vilivyomo kwenye friji, dawa sio kulifunga maana ndio utawapa hamu zaidi, dawa ni kununua matunda mengi zaidi ili kila mtu atosheke.

Mara nyingi watu wa namna hii walilelewa na wazazi au walezi ambao waliwafunza kuwa maisha ni kujitetea pekee yako na kutojali wengine nyakati za uhaba na matokeo yake wamejijengea tabia za kupenda kujitetea wenyewe na kutojali wenzao.

Kuna shangazi yangu huyo, miaka hii ameshazeeka, hakuna mtu anaeenda kwake kwanza nyumba nzuri kubwa inavyumba vya kulala vitano ila hakunaga wageni wala watu wanaotaka kwenda ishi nae sababu ya tabia kama hizi ulizoweka hapa.

Enzi zake alikuwa anafanya kazi kwenye NGO's za kishua na alikuwa na mtonyo ila huwezi amini alikuwa na roho ya kukunja mbaya. Ukihadithiwa matukio yake utasema wanamtungia nenda kakae kwake wiki tu utaona. Hivi vitu umesema hapa nimehisi pengine ulishawahi kuishi kwake.
 
Unoko tu.

Hapo kwenye Motokaa ndio usiseme.

Kuna baadhi ya wakina Baba, Chombo kipo Nyumbani lakini hawataki Watoto zao kugusa, au japo kuwafundisha.

Au kuwafundisha Wake zao, halafu unakuta wanaishi au wameshaishi Miaka mingi ndani ya Ndoa yao.

Mtu yuko tayari akiwa anaumwa akodiwe Chombo kupelekwa Hospitalini, kuliko kutumiwa Chombo kilicho Nyumbani. Eti kwasababu tu mwenye Chombo chake amepatwa na Maradhi.

Kwa kweli kuna Watu wa ajabu sana hapa Ulimwenguni
Roho kushikana na vitu.
 
Mbona unani attack, aliekwambia sina vyangu ni nani mkuu?
Watu wa hivi inabidi uwavumilie sana. Hii ndio sampuli ya watu ambao hata wakienda msalani hawa mwagi maji choo kinakuwa na hali ya kukwaza watakaotumia baadae so msamehe bure tu. Wewe unaelezea tatizo yeye anakuja kukulaumu kama ng'ombe anayetafuta majani haaachi kuwapigia kelele wapita njia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu wa hivi inabidi uwavumilie sana. Hii ndio sampuli ya watu ambao hata wakienda msalani hawa mwagi maji choo kinakuwa na hali ya kukwaza watakaotumia baadae so msamehe bure tu. Wewe unaelezea tatizo yeye anakuja kukulaumu kama ng'ombe anayetafuta majani haaachi kuwapigia kelele wapita njia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bwege kabisa huyo
 
Back
Top Bottom