Hivi uchoyo/ubinafsi unafaida gani katika maisha yako ya duniani hapa

Hivi uchoyo/ubinafsi unafaida gani katika maisha yako ya duniani hapa

Haaaaaaaaaaaaaaaa umenikumbusha jirani yangu mmoja hapa... Amekuja kuwekeza samaki kwangu..


Ana wageni masela wenzake. Mboga naona ni dagaa maharage tangu wafike dah Nimeshangaa sana


Mahondaw wa Smart911
Super dear... Actually huyo jirani yako ana roho ya ki-maskini...

Au wanasema..

Maskini akipata...
 
Hatari Sana. Mama wa nyumba anaweka vitu vya kupika chumbani kwake, sasa uone anavyomgombeza dada wa kazi kwa matumizi Mabaya! Mama anawaka vitu vidogo hadi kero. Kwakweli hii tabia inaudhi
Sasa hio ni akili gani, kama friji ipo mtu anaweka vitu rum vikaozea huko dah..Au mtu akienda kazini anaficha jiko ili mliobaki msipike.Uchoyo sio kitu chema jamani!!!
 
Watu wa aina hii huwatenda hayo yote wanaoishi nao, kisha kama haitoshi, utasikia wanawatangaza na kulalamika kwa watu kama, YAANI MIMI NINA MIZIGO NYUMBANI KWANGU. Watu ninawalisha, nawatunza, yaani wananitegemea mimi mpaka ninashindwa kuwanunulia watoto wangu vyakula vizuri.

Hapo hapo wanasahau kuwa hao wanaowaita mizigo unakuta ndo wanaofanya kazi za nyumbani, kuhudumia mifugo na pengine mavazi na breakfast wanajihangaikia wenyewe.

Ushauri: Kama unaona hupendi watu wakae nyumbani kwako, usiwatoe walipo, wapelekee msaada kule kule kwao. Kuliko kuwaleta au kuwakaribisha kwako na kuanza kufanya vitimbwi na kuwasimanga!
Ndio wabongo walivyo, ila wengi wenye tabia hii ni malimbukeni wa maisha, wale watu wamepata maisha mazuri ghafla bila kutegemea. Naamini kama umekulia kwenye maisha huwezi kuwa mjinga mjinga hivi huku ukinyanyasa watu na roho za kimaskini.
 
Hauna faida yeyote basi tu ni roho ya mtu ilivyo mbaya au utakuta mwanamke kaolewa ndugu wa mume wakija mwendo wa maharage tu na dagaa mpaka waondoke
Hio kitu nmeshuhudia katika ukuaji wangu kwa aunt yangu flanii..kina bamdogo wamekula sana arage na kabichi wakati kuna ma kilo ya nyama frijini
 
MI nadhani watu wengi wa hivyo ni wale waliopata Mali kwa shida sana hvyo wanapenda na ww usote, hivi huoni hata mashuleni ukikuta teacher mnoko sana ukifuatilia utangundua alisoma kwa shida na tabu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nmekuwa nikishuhudia baadhi ya watu wenye visa kama hivi:
Unakuta mtu ana maindisha misosi, anafunga friji na funguo ili tu watu wasile matunda au maziwa ambayo ni ya familia ambayo hata hajui bei yake.

Anafungia t.v chumbani ili watu wasiangalie akiwa hayupo, anawakalisha watu chini eti wanachafua makochi na sebule.

Ana maindi kuona mtu anainjoy life ile umepumzika tu ataanza visa mradi akukurupue tu ukafanye kazi ambazo sio hata za lazima.

Anamaindisha vitu vidogo sana, mfano anaweza kulizua zogo tu kisa kikombe,sahani au sufuria. Eti hapendi tu litumike na mtu flani.

Hela ipo na inatosha kununua vitu in bulk ila ananunua vitu kwa reja reja tu bila sababu ya msingi na vinapoisha fasta anabwata kwamba kuna misuses.

Gari zipo ila hataki mtu aendeshe makusudi tu, hata kama kuna emergency atakutembeza kwa mguu juani akupandishe daladala au taxi ila gari zipo uani zinanyewa na ndege tu.

Ana hela ila hawezi msaidia hata baba au ndugu zake wa damu, sijui tuite ubahili yani mtu ndugu zake waweza kuwa wana ukata uliopitiliza ila kuwainua hali zao tu asiweze.

Haya ni machache miongoni mwa mengi, najua humu mpo pia watendaji na wahanga...Kuna faida gani mtu ukiwa na tabia ya aina hzo maishani mwako!?
mkuu hama tu kwa shemeji ukajitegemee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hawa wat wapo hta maji ya kunywa unanyimwa.uchoyo haufai wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
hahahaha na watu wa kanda maalumu mkiendaga kusalimia hamfikirii kurud kwenu mapema haahah! kama nakuona kakangu! ila ni roho ya ajabu alafu inakera sana jaman!
Hahahaha dadake Mbitiyaza siyo hivyo, bali nilikuwa niko chuo hapa hapa Dar na mjomba yuko hapa hapa Dar, sasa ikifika muda wa kufunga chuo wakati mwingine nilikuwa naona tabu sana kutoka Dar hadi mkoani, hivyo naamua kubaki hapa hapa mjini kuokoa gharama ya nauli ya safari na mahitaji mengineyo yahusuyo safari, uzuri ni kwamba siyo muda wote nilikuwa namaliza muda wangu kwake wa mapumziko
 
hahahaha na watu wa kanda maalumu mkiendaga kusalimia hamfikirii kurud kwenu mapema haahah! kama nakuona kakangu! ila ni roho ya ajabu alafu inakera sana jaman!
Dadake kwa uroho mbaya kwa vitu vidogo vidogo tu mko vizuri aisee!
 
Back
Top Bottom