Hivi udi unafukuza kweli harufu ya bangi kama unavutia geto?

Acha woga...
Nenda kituo cha polisi vuta pale bangi[emoji16][emoji16][emoji16]hakuna polisi atakukamata!!!
 
Skiaa, ukisharoll up hiyo kangonya unaipaka asali yote kisha washa hata jirani hasikii sana sana atasikia kama harufu ya asali asali hivii
Shukrani sana aisee kuhusu asali niliwahi kusikia ila sikutilia maanani nataka nianze kutumia hii mbinu. Ningependa pia kujua vitu vifuatavyo.... je inamaana mtu hasikii harufu ya ganja kabisa yani hata ukivuta stendi? Na je unaipaka kwenye msokoto mzima au pale mbele tu? Pia unauvuta asali ikikauka kwenye ganja au hapo hapo tu na ubichi wa asali, pia ni asali ya nyuki wadogo au hawa hawa wanaotung'ata uraiani
 
Acha kuvuta kizamani wasi wasi wa nini uko geto tulia stimu ipande.
Ukiona vipi uwe unachanganya na karafuu.
Hilo jimama litakuwa member likaribishe geto .
 
Huyu mwamba anaishi na Kimasikhara alafu hajui mpaka sasa...???

Kula huyo mwanga ili unyonyee weed kwa mrija wa dhahabu.Ubembee mpaka kwa Putin uwe na hisia kama ndo wewe unaetuma Vifaru na Ndege Ukrain

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Usivutie bangi ghetto mkuu, si vizuri kila mtu kufahamu mwenendo wako hasa jamii ambayo ni ya kupita.
 
🀣🀣🀣
 
Hahahaha mwambie bangi hautaacha bali utapunguza kwa kuwa wewe ni mwanajeshi
 
We nunua asali mbichi the ipake kuizunguka kaya kidogo tu juu juu then jilipue afu lete mrejesho
Sawa sawa man ngoja nikaijaribu hii mbinu. Ni mpaka mbichi tu au hata iliyochemshwa!!?
 
Mm nawekaga tunda za iriki na unga wa karafuu kidogo wakati nanyonga kwenye paper. Hapo hata awe nani hawezi kujua kama kunamtu anakula bomu ndani.
 
Mm nawekaga tunda za iriki na unga wa karafuu kidogo wakati nanyonga kwenye paper. Hapo hata awe nani hawezi kujua kama kunamtu anakula bomu ndani.
Kumbe mbinu ni nyingi sana
 
Kula kitu adharani wewe unajificha hadi lini unajipotezea stim kwa woga tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…