Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadharani kivipi tena man๐๐Kula kitu adharani wewe unajificha hadi lini unajipotezea stim kwa woga tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Washa tambaa kidogo tuMaana nimezoea kila mida ya usiku kuwasha udi moja na kuvutia ganja geto sasa isije ikawa wapuuzi jirani wanasikia mjani.
Wabangi bangi tupeane semina juu ya hili kama inazuia kweli ama hizuii maana kuna limama la jirani mlango wa tatu toka chumba changu kila tukionana asubuhi linaniangalia kwa makini kweli kama vile kuna kitu linataka kubaini toka kwangu, sasa hajiu kuwa mimi ni Putin.
jamaa hajikubali mimi nikiwa kwangu nakula kijiti na sinaga shobo na majirani zanguVuta tu kama ni msokoto mmoja,mtu ambaye haijui hawezi jua harufu,labda uzidishe kuvuta mixer Kali... Nyox! Kaya INA moshi mwepesi.
Kwani kodi si unajilipia au unakaa bure!
Old school,block C tulikua tunajilia tu muwa na polisi wanapita nje ya ukuta.
kwani wanamlipia kodi?Si ukavutie mbali na hapo. Ustaarabu ziro
ndio askari wanguKodi yangu sipangwingwi
Wamewakataza hadi watoto wao kupita kwenye kordo iliyo na mlango wangu.
Umeanza kutumia mjani lini ..mbona sioni swali hapo!??Maana nimezoea kila mida ya usiku kuwasha udi moja na kuvutia ganja geto sasa isije ikawa wapuuzi jirani wanasikia mjani.
Wabangi bangi tupeane semina juu ya hili kama inazuia kweli ama hizuii maana kuna limama la jirani mlango wa tatu toka chumba changu kila tukionana asubuhi linaniangalia kwa makini kweli kama vile kuna kitu linataka kubaini toka kwangu, sasa hajiu kuwa mimi ni Putin.
na madhara yake yakoje.?Chukua glucose ile ye kuongeza nguvu
Mix na ganja wakati unanyongaโฆ
Utanishukuru baadae.. msisahau mrejesho
Kaya kwangu kama kawaida,ila nipo smart tujamaa hajikubali mimi nikiwa kwangu nakula kijiti na sinaga shobo na majirani zangu
Tafuta majani ya msonobariMaana nimezoea kila mida ya usiku kuwasha udi moja na kuvutia ganja geto sasa isije ikawa wapuuzi jirani wanasikia mjani.
Wabangi bangi tupeane semina juu ya hili kama inazuia kweli ama hizuii maana kuna limama la jirani mlango wa tatu toka chumba changu kila tukionana asubuhi linaniangalia kwa makini kweli kama vile kuna kitu linataka kubaini toka kwangu, sasa hajiu kuwa mimi ni Putin.
Udi haufukuzi harufu ya bangi ingawa ,udi una harufu Kali kushinda harufu ya bangi ikitokea ukachoma vyote bangi inazidiwa nguvu au harufu na udiMaana nimezoea kila mida ya usiku kuwasha udi moja na kuvutia ganja geto sasa isije ikawa wapuuzi jirani wanasikia mjani.
Wabangi bangi tupeane semina juu ya hili kama inazuia kweli ama hizuii maana kuna limama la jirani mlango wa tatu toka chumba changu kila tukionana asubuhi linaniangalia kwa makini kweli kama vile kuna kitu linataka kubaini toka kwangu, sasa hajiu kuwa mimi ni Putin.
kuwa smart ni muhimu tofauti na hapo utaitwa mvuta bangiKaya kwangu kama kawaida,ila nipo smart tu