Hivi udi unafukuza kweli harufu ya bangi kama unavutia geto?

Washa tambaa kidogo tu
 
jamaa hajikubali mimi nikiwa kwangu nakula kijiti na sinaga shobo na majirani zangu
 
Kodi yangu sipangwingwi
Wamewakataza hadi watoto wao kupita kwenye kordo iliyo na mlango wangu.
ndio askari wangu

huo ndio unyama sasa

mbona wao wakinywa pombe zao na kuanza kupiga makelele yao hatuwalalamikii?

eti harufu ya ganja tu kelele kibao!
 
Chukua glucose ile ye kuongeza nguvu
Mix na ganja wakati unanyonga…

Utanishukuru baadae.. msisahau mrejesho
 
Umeanza kutumia mjani lini ..mbona sioni swali hapo!??
 
Tafuta majani ya msonobari
 
Udi haufukuzi harufu ya bangi ingawa ,udi una harufu Kali kushinda harufu ya bangi ikitokea ukachoma vyote bangi inazidiwa nguvu au harufu na udi
 
Mix majani ya chai,utanishukuru
 
Usivute bangi. Unachanganya mambo. Wavuta bangi ghetto usually wanadhania bangi ni udi,wanavuta bangi kuficha harufu za ghetto.
Bangi inatengeneza estrogen ndani ya mwili. Na kama hujui estrogej ni nini,estrogen ni female hormone. Kwa hiyo bangi itatengeneza female sex hormones in your male body.
Kwa hiyo ile perception kwamba tough guys wanavuta bangi is quite wrong. Bangi itakufanya uwe effeminate.
 
dawa nzuri ya kufukuza harufu gheto ni kuacha bangi[emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…