Hivi ugonjwa wa Ebola tulioambiwa na Mabeberu upo Tanzania umeishia wapi?

Hivi ugonjwa wa Ebola tulioambiwa na Mabeberu upo Tanzania umeishia wapi?

Wakulonga

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
762
Reaction score
771
Mimi nilikuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa wanafuatilia kwa makini sana sakata la Ebola tanzania. Hawa mabeberu waliuaminisha ulimwengu kuwa tz kuna Ebola na kushindana katika kutoa matamko kwa raia wao. Mimi nijuavyo Ebola kama pembe la ng’ombe halifichiki cha kushangaza mpaka leo sijackia sehemu fulani ebola inaendelea kuua watu. Hivi kweli Ebola iliwapo nchini au ndo mbinu za mabeberu na vibaraka wao kutaka kuichafua nchi kwa maslahi yao. Mbona hata hao vibaraka wao nao wapo kimya hawatoi takwimu ya watu waliokufa kwa ebola mpaka sasa ni wangapi. Ama kweli ukitaka kumuua mbwa kwanza mpe jina baya kisha muuwe hamna atakaye kuuliza. Jamani mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. UNCLE CHAPA KAZI mabeberu na vibaraka wao kina Lisu washaanza kukuelewa.Watulie dawa iwaingie maana dawa hii haichagui mweusi au mweupe.
 
Tatizo tunatumika sana kama condom watu majuha mpaka unatamani ardhi ipasuke
 
Mimi nilikuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa wanafuatilia kwa makini sana sakata la Ebola tanzania. Hawa mabeberu waliuaminisha ulimwengu kuwa tz kuna Ebola na kushindana katika kutoa matamko kwa raia wao. Mimi nijuavyo Ebola kama pembe la ng’ombe halifichiki cha kushangaza mpaka leo sijackia sehemu fulani ebola inaendelea kuua watu. Hivi kweli Ebola iliwapo nchini au ndo mbinu za mabeberu na vibaraka wao kutaka kuichafua nchi kwa maslahi yao. Mbona hata hao vibaraka wao nao wapo kimya hawatoi takwimu ya watu waliokufa kwa ebola mpaka sasa ni wangapi. Ama kweli ukitaka kumuua mbwa kwanza mpe jina baya kisha muuwe hamna atakaye kuuliza. Jamani mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. UNCLE CHAPA KAZI mabeberu na vibaraka wao kina Lisu washaanza kukuelewa.Watulie dawa iwaingie maana dawa hii haichagui mweusi au mweupe.
Nadhani swali la msingi ulitakiwa uulize... Zile trillion 400+ tulizo ambiwa tunawadai mabeberu wa makinikia ziliishia wapi?

Alafu uulize tena hivi vile viwanda 4000 tuliambiwa vimejengwa viko wapi?

Sema kwa sababu unaakili ndogo umeishia kuuliza maswali ya kijinga.
 
Mngewaruhusu tu kuja basi ebola ingeshaenea nchi nzima
 
Kwa hiyo Ebola imeua watu wangapi mpaka sasa?
Nadhani swali la msingi ulitakiwa uulize... Zile trillion 400+ tulizo ambiwa tunawadai mabeberu wa makinikia ziliishia wapi?

Alafu uulize tena hivi vile viwanda 4000 tuliambiwa vimejengwa viko wapi?

Sema kwa sababu unaakili ndogo umeishia kuuliza maswali ya kijinga.
 
Walikuwa wanatest zali, walifikiri Magufuli mjinga mjinga, wakagonga kisiki cha mpingo dadadeki, sasa wamehamia Uganda na Kenya kuwaambia wana ebola.
 
Vita na wazungu TZ hatutoshi kujifanya sisi ni smart kuliko wao,MSAPOTINI TU HUYO JAMAA ILA MJUE TU KUWA ATAKAEUMIA ZAIDI NI SISI RAIA WA CHINI.
 
Kwanza niwape heko serikali kwa kukataa hamna ebola, kitendo cha kukataa ni cha kiimani na kishujaa. Unapoamini hakuna kwa imani hiyo hiyo hicho kitu kinatoweka.

Na sisi watanzania kwa imani kubwa tuna amini hamna ebola. Mungu alishaiponya nchi yetu.
 
Ugonjwa huu upo ila nadhani zilikuwa case chache, madaktari,manesi na waudumu wa Afya wa mikoa ya pembezoni wamepewa Training/semina sana, pia kuna waudumu wa kujitolea Ngazi za jamii walipewa mafunzo namna ya kumtambua MTU mwenye dalili za Ebola, kuna Case chache zilijitokeza ila naomba niishie hapa,ila nazani lengo la serikali iliogopa kuzua taharuki,ila hii kitu ipo au ilijitoleza
 
Back
Top Bottom