Nyumb katika ubora wake... ameshakuja jamani huyu hapa. Tuambie Ebola iko wapi?Nadhani swali la msingi ulitakiwa uulize... Zile trillion 400+ tulizo ambiwa tunawadai mabeberu wa makinikia ziliishia wapi?
Alafu uulize tena hivi vile viwanda 4000 tuliambiwa vimejengwa viko wapi?
Sema kwa sababu unaakili ndogo umeishia kuuliza maswali ya kijinga.