Hivi ugonjwa wa Ebola tulioambiwa na Mabeberu upo Tanzania umeishia wapi?

Hivi ugonjwa wa Ebola tulioambiwa na Mabeberu upo Tanzania umeishia wapi?

We unajua kwa nini walitoa press release ya kutahdharisha raia wao kuwa kuna sadikika kuna ugonjwa wa ebola? Tatizo kubwa ni kuwa kuna mfonjwa alifuchwa hadi kufa akiwa na dalili baadhi ya Ebola wazungu kupitia WHO wakaomba waufanyie uchunguzi mwili wakakataliwa ndipo wakaona isiwe tabu wakaanza kuwatahadharisha raia wao maana ishu kama ya ebola sio vizuri kuipeleka kisiasa.
Kwa hiyo ulitaka mzee baba akubali kuna Ebola ili waje waeneze nchi zima
 
Inaelekea una utoto mwingi sasa matusi yanatoka wapi kama haukuwepo kwa nini WHO mliwanyima access ya kumchunguza mgonjwa aliefariki akiwa na dalili hizo.MAMBO YA KIFYA SIO VIZURI KUYAENDESHA KI SIASA.
kwahyo unataka kutuaminisha kuw wazungu wapo sahihi kwamba Tz kuna ebola......ebuu acha uk.....mkuu
 
We unajua kwa nini walitoa press release ya kutahdharisha raia wao kuwa kuna sadikika kuna ugonjwa wa ebola? Tatizo kubwa ni kuwa kuna mfonjwa alifuchwa hadi kufa akiwa na dalili baadhi ya Ebola wazungu kupitia WHO wakaomba waufanyie uchunguzi mwili wakakataliwa ndipo wakaona isiwe tabu wakaanza kuwatahadharisha raia wao maana ishu kama ya ebola sio vizuri kuipeleka kisiasa.
Sorry kiongozi inatakiwa kuwe na sample ngapi Ili WHO wapelekewe na kuthibitisha kwambaa kuna EBOLA?
au hata kukiwa na mgonjwa mmoja tu inatosha?
Kwanini WHO Walikua wanang'ang'ania kuvunja taratibu ambazo ziko wazi Kabisa?
Huoni ni Kama kulikua na nia nyingine nyuma ya pazia?
 
Hivi kwa akili zako unahisi wazungu hawawezi kuuleta huu ugonjwa nchini? Je mna protective weapons gani kushinda mbinu za wazungu. MZUNGU SIO HAJI MANALA UKIELEWA KAA NAO UTAWAJUA ZAIDI.
Sorry kiongozi inatakiwa kuwe na sample ngapi Ili WHO wapelekewe na kuthibitisha kwambaa kuna EBOLA?
au hata kukiwa na mgonjwa mmoja tu inatosha?
Kwanini WHO Walikua wanang'ang'ania kuvunja taratibu ambazo ziko wazi Kabisa?
Huoni ni Kama kulikua na nia nyingine nyuma ya pazia?
 
Hata masomo ya sayansi niliishia kuyasoma form two mkuu, nikiwa na mood nzuri utakuwa ME wa kwanza kukuPM JF, worry off.
mmh basi masomo ya sayansi yalikupenda sana, sema tu hukutaka kuyapa kipaumbele. Hakika nitakuwa mwenye bahati, Pm yangu ipo wazi muda wote. Karibu
 
Back
Top Bottom