Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,867
- 19,250
Dah aisee sijawahi kuona mtu king'ang'anizi kama huyu uhuru, yaani pamoja na minyuko yote lakini bado hakomi kumzoea Magufuli
Hivi wakenya mbona hamuwezi kujitegemea, hamjitoshelezi kabisa, Rais wenu angeweza tu kuendelea na mishe zake bila kumuomba Magu ushauri, ona sasa Magu kaumwaga mchele wote mbele za kuku.
Ooh kuna nchi wanakufa kimya kimya ila kutokana na restricted media space hamsikii, Kenya ina uhuru wa maoni, kiko wapi?
They will drop like flies, kiko wapi?
Magufuli uses Kinjekitile approach to deal with science, kiko wapi?
They will end with premium tears, kiko wapi?
They are treating Corona normally, it will treat them abnormally, kiko wapi?
Hivi wakenya mbona hamuwezi kujitegemea, hamjitoshelezi kabisa, Rais wenu angeweza tu kuendelea na mishe zake bila kumuomba Magu ushauri, ona sasa Magu kaumwaga mchele wote mbele za kuku.
Ooh kuna nchi wanakufa kimya kimya ila kutokana na restricted media space hamsikii, Kenya ina uhuru wa maoni, kiko wapi?
They will drop like flies, kiko wapi?
Magufuli uses Kinjekitile approach to deal with science, kiko wapi?
They will end with premium tears, kiko wapi?
They are treating Corona normally, it will treat them abnormally, kiko wapi?