Hivi Uhuru hakomi kujipendekeza kwa Magufuli

Hivi Uhuru hakomi kujipendekeza kwa Magufuli

Kwa hoja zao za kipumba utawajua tu. Mbona dish za wafuasi wote wa hii dini mpya ya yesu wa Chato huwa zinayumba yumba? Huwa najaribu sana kupata jibu la swali hili bila mafanikio.
 
Video ipo, kasema amepigiwa simu na uhuru.
Eeee kawaida yake hyo, kila wakati akiongea na simu na wenzake husema amepigiwa..
Huku wenzake hata wakiongea nae huaga hawaongei haswa hzo ishu za kwamba wameongea na jiwe katika misafara yao
 
Hii ni assumption juu ya uwezo wako wa kung'amua, its called total high carrot for carrot diplomacy! Baada ya KQ kunyukwa ban ya miezi miwili Uhuru kawa mwepesiii kama unyoya anakuja amechutama baada ya kujishtukia yu-uchiii wa mnyama!
Bado unaendelea na utoto
 
Eeee kawaida yake hyo, kila wakati akiongea na simu na wenzake husema amepigiwa..
Huku wenzake hata wakiongea nae huaga hawaongei haswa hzo ishu za kwamba wameongea na jiwe katika misafara yao
Hahahaha Magufuli anataka nini kwa uhuru ampigie simu? Mbona Unachekesha 😅😅😅
 
Uhuru anaepa hili gundu kule WTO, Amina chalii... halafu kabakisha mwaka na nusu atoke! Kule Mwanza kuna Raila Odinga road, Dar kuna Chakwera pale state of the art Dar Bus Terminal wakati kule Kigoma kuna Ndayishimiye mahkama ya kanda! Wakati TPA headquarter kuna jina la Joseph Kabila, Kibaki nae ana barabara yake!

Usisahau majina ya Museveni kwenye his mega brainchild project na schools all over the country! Lazma ajihisihisi, kumbuka alikuja bila kukaribishwa akapewa tausi aende kufuga halafu awarudishe kama assignment! Roho inamuuma jina litapotea akitoka Urais na wale tausi wana market Tanzania Kenya! Akija Bongo JPM asisahau ampe picha ya Mt Kilimanjaro akaibandike Ikulu!

Nina uhakika pipeline ya Dar-Mombasa litajengwa! aanakuja ku-sign MOU joto la jiwe na Tony254 njooni huku...!















Na ya Phillipe Nyusi iko wapi mkuu?
 
Kuanzia leo watanzania tumekubaliana music awards zote tutawapigia kura wanamuziki toka Kenya na sio Hawa vibaraka wa dikteta wanaouhujumu demokrasia. So wakenya kura zetu mtachukua Hawa watapigiwa na ccm
 
Kuanzia leo watanzania tumekubaliana music awards zote tutawapigia kura wanamuziki toka Kenya na sio Hawa vibaraka wa dikteta wanaouhujumu demokrasia. So wakenya kura zetu mtachukua Hawa watapigiwa na ccm
Acha uchawi
 

Attachments

  • Screenshot_20201013_103744.jpg
    Screenshot_20201013_103744.jpg
    82.6 KB · Views: 1
Kuanzia leo watanzania tumekubaliana music awards zote tutawapigia kura wanamuziki toka Kenya na sio Hawa vibaraka wa dikteta wanaouhujumu demokrasia. So wakenya kura zetu mtachukua Hawa watapigiwa na ccm
Pale unapotaka kulazimisha kila Mtanzania awe na mtizamo kama wako,alafu unalalamika udikteka wakati hicho ulicho kiandika kina reflect UDIKTETA halisi.

Hujashikiwa bunduki kupiga kura kama utaki acha,ila sisi tutapiga.
 
Pale unapotaka kulazimisha kila Mtanzania awe na mtizamo kama wako,alafu unalalamika udikteka wakati hicho ulicho kiandika kina reflect UDIKTETA halisi.

Hujashikiwa bunduki kupiga kura kama utaki acha,ila sisi tutapiga.
Kama walivyofanyiwa wanamuziki wa congo kwa kumsapoti dikteta kabila ndivo hivohivo
 
Pale unapotaka kulazimisha kila Mtanzania awe na mtizamo kama wako,alafu unalalamika udikteka wakati hicho ulicho kiandika kina reflect UDIKTETA halisi.

Hujashikiwa bunduki kupiga kura kama utaki acha,ila sisi tutapiga.
We Kama msanii au mnufaika wa sanaa mtakula mlipopeleka mboga
 
Sasa kama Nyerere alikuwa anaketi na kuzungumza na babake rais Uhuru Kenyatta, huyu Yesu wa Chato atakuwa ndio nani ajione keki wakati kiuhalisia yeye ni kama tu mihogo, tena ya sumu? [emoji1]
 
Back
Top Bottom