flintsky
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 654
- 746
wadau
habari.
hii kitu huwa najiuliza sipati jibu
hivi utaratibu gani hufanyika ili uweze kufanya colabo na msanii?
mfano diamond au kiba anaweza kufanya colabo na jayz mfano,jay z ni msanii mkubwa sana je utaratibu upi hufanyika?je ukishirikisha msanii colabo unamlipa?maana hadi kwenye video utakuta anatokea ukizingatia kuna wasanii wakubwa wanaenda na muda hivyo kumshirikisha lazima kuna kitu anapata kufidia muda wake
habari.
hii kitu huwa najiuliza sipati jibu
hivi utaratibu gani hufanyika ili uweze kufanya colabo na msanii?
mfano diamond au kiba anaweza kufanya colabo na jayz mfano,jay z ni msanii mkubwa sana je utaratibu upi hufanyika?je ukishirikisha msanii colabo unamlipa?maana hadi kwenye video utakuta anatokea ukizingatia kuna wasanii wakubwa wanaenda na muda hivyo kumshirikisha lazima kuna kitu anapata kufidia muda wake