Hivi Ukifumaniwa na mke au mume wa mtu, unashitakiwa kwa kosa gani?

Madai ni nini?
Anae enda kushtaki uwa anaomba mahakama imfanyie nini?
Adhabu ya mshtakiwa ni ipi?
 

Unadhani kesi zote zingekuwa zinapelekwa mahakamni kungekalika?
 

Hii yako mpya baba???
 
hakuna kesi.zaidi polis wanawashauri kwenda serikali za mitaa kufanya mapatano.

Kesi ipo ndugu yangu na alietoka huwa anashtakiwa kwa kosa la uzinzi..huwa anaeshtaki mara nyingi anaomba divorce ikifuatana na compensation
 
Kwenye dola ya kiislam kama hakuna aliyeoa wala kuolewa ni kuchapwa bakora 100 za nguvu bila huruma kama kuna ndoa baina yao ni kupigwa mawe mpaka kufa maaana ni uzinzi huo
 
hiyo ni kesi ya madai tu, fine is the most remedy....kama sijakosea ni kifungu cha 72 CAP 29 R.E 2002 haiwez funguliwa polisi kwani sio criminal case
 
Adultery....Ila ni vigumu xana kuthibitisha fumanizi...kama unaushaidi wa kutosha... Sheria ipo... Law of Marriage Act...
 
You sue for damages if any that has been suffered as a result of adultery. Ni madai sio jinai.
 
Ngoja nimpigie mwanasheria wangu anijuze then nirudi
 
Napendekeza muswada ya mabadiliko ya sheria ya ndoa ya mwaka 2002. Kwamba ni kosa la jinai kutembea na mke au mume wa mtu. Na ikithibitika hukumu ni miaka 3 jela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…