nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,678
Madai ni nini?sio madai unapotosha mkuu hiyo ni jinai,umefanya vitendo vya umalaya tena na mume wamtu au mke wa mtu,sasa kesi yako mahakamani ikipangiwa na hakimu ambaye alisha wahi kuvunja ndoa yake kwa suala la fumanizi haswa mwanamke imekula kwako haiana cha maridhiano.
Anae enda kushtaki uwa anaomba mahakama imfanyie nini?
Adhabu ya mshtakiwa ni ipi?