Hivi ukikutana na dume zima limebeba mdoli unalielewaje?

Hivi ukikutana na dume zima limebeba mdoli unalielewaje?

Kuna demu nilimgegeda kwa sababu ya mdoli, Kuna jamaa alikuwa anauza midoli eneo la kazini sasa demu mmoja akawa anapita akaniambia nimnunulie mdoli, kwakuwa siku hiyo sikuwa na hela nikamwambia siku nyingine. Sasa siku niliyoununua kumpigia cm akaniambia nimpelekee home kwake na kufika kwake kutokana na furaha aliyokuwa nayo mara kanikumbatia na genye hizooooo nikashtukia nimekula mzigo...
 
Nimekutana na janaume lenzangu tena lina ndevu nying tu lakini limebeba mdoli,hivi jitu kama hili nyie mnalielewaje wakuu?
Tatizo sio mdori tatizo anafanya nao nn!! Acha ushamba wewe
Anaweza akawa amemnunulia baby wake,watoto wake anaenda kupamba nyumban kwake!!! Au ulikuta kaubeba mgongoni!!??
 
We wa ajabu sasa s ndio ujue ana mtoto kamnunulia acha kuwa negatibe bhna
 
Acheni kuteteana nyie,jitu limebeba mdoli kiswaga kabisa kama wadada wanavyobebaga afu limevaa na hereni.
 
Nimekutana na janaume lenzangu tena lina ndevu nying tu lakini limebeba mdoli,hivi jitu kama hili nyie mnalielewaje wakuu?

!
!
Inategemea. Kama nammudu ntamtisha kama nampa tama akipepesuka namkata boonge moja la banzi la uso.
 
Chura.jpg
 
Inawezekana alikua anatoka kumnunulia mkewe zawadi
 
Nimekutana na janaume lenzangu tena lina ndevu nying tu lakini limebeba mdoli,hivi jitu kama hili nyie mnalielewaje wakuu?
Kamnunulia mtoto wake,au kwa kuwa wewe ni mwanaume zawadi kwa uwapendeo huwa hununui?
 
Nimekutana na janaume lenzangu tena lina ndevu nying tu lakini limebeba mdoli,hivi jitu kama hili nyie mnalielewaje wakuu?
Mnashangaza wewe na wengine.. hivi wangapi jana wamebeba vitu visivyo vya kiume kuwapepekea mama zao kama zawadi siku ya mama duniani jana? Unless eleza mazingira halisi ili tuione maana unayotaka kutuaminisha
 
Acheni kuteteana nyie,jitu limebeba mdoli kiswaga kabisa kama wadada wanavyobebaga afu limevaa na hereni.
Umeona hoja yako haina mashiko umeamua kuongezea na uongo?, mbona hukusema mwanzoni kwamba kavaa hereni?

Alafu mademu wanabebaje midoli?
 
Labda angesema mazingira ya ubebaji,unaweza kuta jamaa kaliweka mgongon au Kwa madoido flani hvi km wafanyavyo wenyewe.....
 
Labda angesema mazingira ya ubebaji,unaweza kuta jamaa kaliweka mgongon au Kwa madoido flani hvi km wafanyavyo wenyewe.....
jamaa alikua kalibeba kipozi flani hvi za kidada.
 
Nimekutana na janaume lenzangu tena lina ndevu nying tu lakini limebeba mdoli,hivi jitu kama hili nyie mnalielewaje wakuu?
Ww ndiyo tukuulize unaushamba wa namna gan? Mbona kuwa na mdol kawaida labda anampelekea mwanaye au mpenz? Nyie ndiyo wale wanaume mnao Amin kunuka kwapa ndiyo uanaume.
 
Katika dunia hii kuna watu wanawahitaji watoto kuliko wanavyohitaji pumzi kutoka kwa Mungu. Inawezekana jamaa ndoa yake ipo kama ile ya Gadner... Miaka 15 hamna kitu harafu unajisifu eti nimemkojolesha.. SHWAINI JAZ BAND
 
Back
Top Bottom