Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haa??[emoji15]Bola mdoli, unamuta dume lina kioo kwenye wallate[emoji23][emoji23]
Tuanze na wale wanaojipodoa,kusuka nywele zao na kutoboa masikio kwanzaNimekutana na janaume lenzangu tena lina ndevu nying tu lakini limebeba mdoli,hivi jitu kama hili nyie mnalielewaje wakuu?
Anawapelekea watoto wake kama zawadiNimekutana na janaume lenzangu tena lina ndevu nying tu lakini limebeba mdoli,hivi jitu kama hili nyie mnalielewaje wakuu?
Heee!!wewe mwepesi wa kumuhukumi mtu ok mbona wewe unatuma msg na kupokea kwa kidole gumba kwani wewe ni 076 number ya Jordan.
swissme
ndio mkuu ukipokea simu kwa kidole gumba au kuandika msg kwa kidole gumba wewe ni gasho yaani ni ishala ya kuwa wewe ni gy.Heee!!
Mkuu hebu fafanua zaidi hapo kwenye dole gumba Na ule mtandao pendwa wa Jordan!
Kudadeki!ndio mkuu ukipokea simu kwa kidole gumba au kuandika msg kwa kidole gumba wewe ni gasho yaani ni ishala ya kuwa wewe ni gy.
swissme
Labda alikuwa anauza!Nimekutana na janaume lenzangu tena lina ndevu nying tu lakini limebeba mdoli,hivi jitu kama hili nyie mnalielewaje wakuu?
Sio matusi mkuu!hahahaha matusi tena.
swissme
Nitaanza kufanya kautafiti!!vipi kunaukweli?
swissme
Looks can be deceiving........Vitu vingine ni kuvipa umuhimu kupita halihalisi..
Hii mi naona kama fictitious kwa sababu hata mademu wenyewe ni vigumu umkute kabeba mdoli kwa ajili gani?It doesn't make sense!Labda kwenye gari kuna mshikaji namjua kwenye gari yake sio la mke wake amejaza midoli ndani chini ya kioo cha nyuma.Acheni kuteteana nyie,jitu limebeba mdoli kiswaga kabisa kama wadada wanavyobebaga afu limevaa na hereni.