Hivi ukimkamata mwizi usiku umfanyaje?

Hivi ukimkamata mwizi usiku umfanyaje?

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Naona kuna raia wanasema umpeleke kituo cha polisi Ili sheria ifanyike Sasa najiuliza Hawa wezi wanavyotuvamia unakuta wanatuua na pesa zetu wanabeba inamaana wao ni wanahaki ya kuua na kuiba pesa ya mtu naombeni maoni yenu wakuu maana wezi wameshatuulia ndugu zetu wezi wanatia watu umasikini kitu ulichokitafuta miaka 10 yeye anachukua Kwa dakika 5 wezi wameshatuachia vilema vya kudumu ndugu zetu na hata sisi wenyewe hatujui yajayo tukikutana na hawa jamaa kwenye anga zao wanakuwa sio binadamu ni wanyama he mbona wao wanatetewa sana na watu humu mitandaoni inamaana mwizi akiua sawa ila akiuwawa yeye sio sawa
 
Naona Kuna raia wanasema umpeleke kituo Cha polisi Ili sheria ifanyike Sasa najiuliza Hawa wezi wanavyotuvamia unakuta wanatuua na pesa zetu wanabeba inamaana wao ni wanahaki ya kuua na kuiba pesa ya mtu naombeni maoni yenu wakuu maana wezi wameshatuulia ndugu zetu wezi wanatia watu umasikini kitu ulichokitafuta miaka 10 yeye anachukua Kwa dakika 5 wezi wameshatuachia vilema vya kudumu ndugu zetu na hata sisi wenyewe hatujui yajayo tukikutana na hawa jamaa kwenye anga zao wanakuwa sio binadamu ni wanyama he mbona wao wanatetewa sana na watu humu mitandaoni inamaana mwizi akiua sawa ila akiuwawa yeye sio sawa
Ni muhimu sana kuwa waangalifu ndugu zangu, uovu mwingi umejificha kwenye wema siku hizi.

hata hivyo,
ni muhimu sana kuchapa kazi kwa bidii bila woga,wala dhana ya kuporwa chochote kichwani mwako, na utakua na amani sana 🐒
 
Unamuuliza kwa nini unaniibia, kisha unampa vifungu vya biblia kadhaa pamoja na vitu alivyotaka kukuibia, si unajua tena maandiko yanatuambia akikupiga la kushoto unamgeuIa na la kulia
Inakuaje akikuchoma kisu mkuu utaendelea kumpa vifungu
 
ni muhimu sana kua waangalifu ndugu zangu, uovu mwingi umejificha kwenye wema siku hizi.

hata hivyo,
ni muhimu sana kuchapa kazi kwa bidii bila woga,wala dhana ya kuporwa chochote kichwani mwako, na utakua na amani sana 🐒
Umechanganya mafaili
 
Msalimie tu,

Mwambie "shikamoo kaka mwizi".
 
Naona Kuna raia wanasema umpeleke kituo Cha polisi Ili sheria ifanyike Sasa najiuliza Hawa wezi wanavyotuvamia unakuta wanatuua na pesa zetu wanabeba inamaana wao ni wanahaki ya kuua na kuiba pesa ya mtu naombeni maoni yenu wakuu maana wezi wameshatuulia ndugu zetu wezi wanatia watu umasikini kitu ulichokitafuta miaka 10 yeye anachukua Kwa dakika 5 wezi wameshatuachia vilema vya kudumu ndugu zetu na hata sisi wenyewe hatujui yajayo tukikutana na hawa jamaa kwenye anga zao wanakuwa sio binadamu ni wanyama he mbona wao wanatetewa sana na watu humu mitandaoni inamaana mwizi akiua sawa ila akiuwawa yeye sio sawa
Mpe chakula na pesa ya nauli na kitu alichokua anataka kuiba mpe kabisa aende nacho.
 
Naona Kuna raia wanasema umpeleke kituo Cha polisi Ili sheria ifanyike Sasa najiuliza Hawa wezi wanavyotuvamia unakuta wanatuua na pesa zetu wanabeba inamaana wao ni wanahaki ya kuua na kuiba pesa ya mtu naombeni maoni yenu wakuu maana wezi wameshatuulia ndugu zetu wezi wanatia watu umasikini kitu ulichokitafuta miaka 10 yeye anachukua Kwa dakika 5 wezi wameshatuachia vilema vya kudumu ndugu zetu na hata sisi wenyewe hatujui yajayo tukikutana na hawa jamaa kwenye anga zao wanakuwa sio binadamu ni wanyama he mbona wao wanatetewa sana na watu humu mitandaoni inamaana mwizi akiua sawa ila akiuwawa yeye sio sawa
Kama wanawaua,na nyie wauweni tu, tatizo wakipelekwa mahakamani raia hawaendi kutoa ushaidi,mwisho wa siku mahakama inawachia huru wanarudi tena mtaani.
 
Naona Kuna raia wanasema umpeleke kituo Cha polisi Ili sheria ifanyike Sasa najiuliza Hawa wezi wanavyotuvamia unakuta wanatuua na pesa zetu wanabeba inamaana wao ni wanahaki ya kuua na kuiba pesa ya mtu naombeni maoni yenu wakuu maana wezi wameshatuulia ndugu zetu wezi wanatia watu umasikini kitu ulichokitafuta miaka 10 yeye anachukua Kwa dakika 5 wezi wameshatuachia vilema vya kudumu ndugu zetu na hata sisi wenyewe hatujui yajayo tukikutana na hawa jamaa kwenye anga zao wanakuwa sio binadamu ni wanyama he mbona wao wanatetewa sana na watu humu mitandaoni inamaana mwizi akiua sawa ila akiuwawa yeye sio sawa
Angalia mazingira yanayoruhusu kufanya unachoweza kwa ajili ya kujilinda wewe mwenyewe, familia yako na mali zako
 
Naona Kuna raia wanasema umpeleke kituo Cha polisi Ili sheria ifanyike Sasa najiuliza Hawa wezi wanavyotuvamia unakuta wanatuua na pesa zetu wanabeba inamaana wao ni wanahaki ya kuua na kuiba pesa ya mtu naombeni maoni yenu wakuu maana wezi wameshatuulia ndugu zetu wezi wanatia watu umasikini kitu ulichokitafuta miaka 10 yeye anachukua Kwa dakika 5 wezi wameshatuachia vilema vya kudumu ndugu zetu na hata sisi wenyewe hatujui yajayo tukikutana na hawa jamaa kwenye anga zao wanakuwa sio binadamu ni wanyama he mbona wao wanatetewa sana na watu humu mitandaoni inamaana mwizi akiua sawa ila akiuwawa yeye sio sawa
Mvuvi kazi yake ni kumuua samaki, mfugaji kazi yake kumchinja ng'ombe wake vivyo hivyo mwizi kazi yake kumpora tajiri, zote hizo ni ajira na tunaishi kwa kutegemeana.
 
Huo mtaa wenu unaonekana ndio sehemu ya wezi kuja kufanyia field

Maana ni juzi tu hapa ulikuwa unashutashuta humu
unaogopa kutajwa na mwivi mliompiga saa8 za usiku.
 
Back
Top Bottom