Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni vyuo vyote vipo hivyo mkuu.
Maadili yamepungua sana kwenye kizazi cha sasa na usiwalaumu kina Dada pekeyao kwa kuwa wapo pia wanaowaharibu.
Malezi mabovu ya familia yanapelekea kupata jamii ya kizazi kibovu kisha Taifa linakuwa la kizazi cha namna hiyo.
Sikuhizi mtoto kurudi nyumbani na Digree ya vyupi ishakuwa ni jambo la kawaida.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoma ipo, kwa sasa imemuachia binamu yake Corona apige jeramba kidogo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Corona ndiyo habari ya Dunia.Ngoma ipo, kwa sasa imemuachia binamu yake Corona apige jeramba kidogo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoma habari nyingine jombaaaa, ni vile tu siku hizi kuna ma mbaazi (ARV)...Corona ndiyo habari ya Dunia.