kama tutasema ni mpango wa new worl order.... hawaoni kwamba silah walizo anza nazo zinaweza kuwauwa wenyewe . ?
then mbona HIV ipo kitambo na juhud kibao za kuutib zinafanyika...?
what im blvn wakiamua kuua ni. kitendo cha dk 3tu zinatosha.....
Mkuu lazima uaminishwe kuwa Hilo in janga na hata wao linawafikia though sio kwa extent kubwa kama eneo ambalo wamelitarget. Things have been planned for a long time ago and take place slowly by processes. Hivi wasipoonesha kuwa wao pia ni waathirika na haya majanga, watatuaminishije kuwa these things have not been created by themselves? Few must be sacrificed in order to success their plankama tutasema ni mpango wa new worl order.... hawaoni kwamba silah walizo anza nazo zinaweza kuwauwa wenyewe . ?
then mbona HIV ipo kitambo na juhud kibao za kuutib zinafanyika...?
what im blvn wakiamua kuua ni. kitendo cha dk 3tu zinatosha.....
Kaka! ! You have nailed it kiasi ambacho hata zuzu atakuelewa, kweli kuna watu wanapendelea kudhihaki western media kwa sababu wanazo zijua wenyewe, ni kweli wakati mwingine media hizo huwa zinaripoti kwa maslahi yao, lakini si muda wote,
Mwaka 1996 Cnn walikua wa kwanza kutoa na kurusha live habari ya Mv Bukoba walikuwa na maslah gani katika ajali ile ?mwaka jana tulishuhudia live coverage ya shujaa mandela, kutoka Bbc, Cnn etc,.
Binafsi napenda sana habari, nina karibia news source za karibi kila pande.ya huu ulimwengu ,Kuanzia hizo western, aljazeera, iran na russia tv, katika suala hili la ebola sijaona likizungumziwa kama janga la sehemu moja, hizo media za afrika.magharibi naangalia pia zinachofanya ni kulalamika tu,
Hapo kwenye stastitics na utafiti ndio kabisa tumeshindwa, kama kweli walitengeneza Aids na Ebola, kulikuwa na haja gani wao mosi kutuambia, pili kufanya jitihada za ku contain kwa Arvs and the like, au labda sifahamu nijuzwe kuna taasisi au shirika lolote la afrika lililobadilisha chochote kuhusiana na magonjwa hayo,? Tumefikia wapi na tafiti zetu? Ina maana magharibi wana hila hadi.kwenye utashi wetu wenyewe. Mikoa iliyoongoza kwa maambukizi ya ukimwi kagera na sasa iringa, kwa kiasi.kikubwa ilichangiwa na wanaume kutofanyiwa tohara , leo hii kuna kampeni ya tohara ya bure tena kwa watu wazima, tulikuwa na ujanja wa kulitambua hilo kwa tafiti zetu? ,vipi kama tusingeambiwa?
Hizo hizo.media zinazobezwa, leo hii ndo zinakuja na fact kuwa hata huko marekani , kuna maambukizi ya ebola, na kweli tunashuhudia juhudi zinafanywa ili kuncontain maambukizi kwa kupeleka madaktari, na kuzuia connection zote za usafiri kwenda west africa ili lisije kuwa janga la dunia, kama kweli wa magharibi wana hila hapa ndo ulikuwa wakati muafaka wa kukaa kimya , wakituangalia tunavyopukutika na ebola.
Mkuu naomba kutofautiana na wewe kuhusu swala la HIV,. Hivi huku Africa kusini mwa jangwa la sahara ndo tunafanya ngono isiyo salama kuliko eneo lingine lolote duniani? Hivi kwanini ukimwi usisambae katka mabara mengine? Hapa kuna kitu kinafichwa tu. Kuhusu utafiti juu ya ukimwi., sisi huku tunawategemea wazungu watuwezeshe kifedha. Sasa wakiona tunakaribia kugundua ukwrli unafikiri wataendelea kutupa misaada? Pia kwa maoni yangu swala la ukimwi lina maslahi na watu wa magharibi na kamwe hawataruhusu Africa ijue ukweli kuhusu ugonjwa huo, watabaki wao ndo wanafanya tafiti na kutuleta madawa na taarifa kuhusu ugonjwa huu
Sijafahamu exposure yako ikoje kuhusiana na hili bara, sio kila ngono inaleta maambukizi, ni style za ngono , kuna kauli mbiu inatumika hapa kwetu, ngono zembe na ngono salama, just to make point,
Hebu jiulize ushenzi unaofanyika jumlisha na population ya hapo dar, pamoja na mikoa mingine ya pwani, ungetegemea.maambukuzi makubwa yangekuwa mikoa hiyo, lakini takwimu zinasema maambukizi makubwa yapo mkoa wa njombe, fact ni kuwa hapo inawezekana dar watu wanafanya sana, ngono lakini salama and vice versa is also true.
Kama umewahi kufika Botswana, utakubaliana nami kuwa the further south you go the worse kwa maambukizi, ina tokana na ukweli kuwa watu wanafanya sana ngono zembe au ngono hatarishi .
Mkuu unataka kusema kwamba nchi za ulaya wao hawafanyi ngono ambayo sio salama? Je ni kwann nchi za kiafrika tu tena kusini mwa jangwa la sahara ziwe ndo zimeathirika zaidi?, we huona kama kuna kitu kimejificha nyuma ya huu ugonjwa?
Mkuu naomba kutofautiana na wewe kuhusu swala la HIV,. Hivi huku Africa kusini mwa jangwa la sahara ndo tunafanya ngono isiyo salama kuliko eneo lingine lolote duniani? Hivi kwanini ukimwi usisambae katka mabara mengine? Hapa kuna kitu kinafichwa tu. Kuhusu utafiti juu ya ukimwi., sisi huku tunawategemea wazungu watuwezeshe kifedha. Sasa wakiona tunakaribia kugundua ukwrli unafikiri wataendelea kutupa misaada? Pia kwa maoni yangu swala la ukimwi lina maslahi na watu wa magharibi na kamwe hawataruhusu Africa ijue ukweli kuhusu ugonjwa huo, watabaki wao ndo wanafanya tafiti na kutuleta madawa na taarifa kuhusu ugonjwa huu
Wakuu embu naomba mpitie hii https://www.jamiiforums.com/jamii-i...t-charles-gallo-the-man-who-created-aids.html nadhani mtapata majibu ya maswali yenu.Sijawahi kukaa wala kufika ulaya, siwezi kukusemea huko, lakini ka experience kangu ni kuwa Ukimwi . Unahusishwa na vitu vingi sana, kimojawapo ni umaskini, Rate ya mwathirika wa ukimwi kuambukiza watu katika developed countries ni ndogo kuliko developing countries,
Hujawahi kusikia wanafunzi wanafanya umalaya kwa ajili ya lunch?
Adui mkubwa wa marekani na maswaiba zake ni muarabu... kama ni kweli haya magonjwa yalitengenezwa ili kupunguza population zinazowakera wazungu, waarabu wangekuwa ni watu wa kwanza kuangamia na kupotezwa....
Inawezekana kweli kuwa haya magonjwa ni man made , Sikubaliani tu ,na idea kuwa Hiv na Ebola ililengwa kuangamiza waafrika. To them wako safe zaidi na sisi kuliko waarabu.
Hili ni janga, yanayotokea baada ya Ebola kulipuka, yanadhihirisha jinsi gani corrupt african leaders walivyo waacha wananchi wao, katika lindi kubwa la umasikini, huduma mbovu za afya, na miundo mbinu mibovu, kiasi kwamba outbreak yoyote ikitokea inakuwa ngumu kui contain.
Inasikitisha sana bado tunadumisha utaratibu wa kulaumu mtu mwingine kabisa katika matatizo yanayotusibu wenyewe.
............hata chanjo za juzi za rubela na mabusha nina wasiwasi nazo, (.......ofcourse wasiwasi ndo akili)Ndugu, we don't point fingers for no reason. Kwanza tambua hizi information zinaleak kutoka kwenye sources zao wenyewe, wala si za hapa Africa.
Ambition ya westerners sio tu kuattack maadui wake tu, bali kupunguza world population ili kurahisisha/kurudisha utawala wao wa dunia kama ilipokua kipindi cha ukoloni (or worse). Population ya nchi za magharibi ina-dwindle kutokana na masuala ya birth control, hvyo wanahofia kua ongezeko la population else where ina threaten their hegemonic existence. China inakuja juu kiuchumi na according to recent statistics kutoka imf, now china ndio leading economy interms of purchasing power parity na hili limewezekana kutokana na wao kua na idadi kubwa ya watu. Hali hii ikiendelea itawafanya watu wamagharibi wategemee dunia interms of man power.
Njia zao za kufanikisha hili zipo divesified, kama unakumbuka kuna mama mmoja wa wfp aliamua kusema ukweli kwamba the organization ime plot kupunguza more than half of the world population kwa namna mbili: watu wa tabaka la chini kupitia magonjwa na watu wa tabaka la kati kupitia life styles (chakula, maji etc).
Waarabu wanamalizana kwa vita. Kama ulisoma course/history inayohusu masuala ya terrorism utakuja kujua kuwa makundi ya kigaidi yalitengenezwa na wamarekani, kwa ushahidi zaidi cheki youtube hillary clinton ameliweka wazi kabisa. Kwamba kipindi cha vita baridi, waliwatrain watu (including bin laden)wa al qaeda na kuwapa silaha ili wawaondoe wa rusia, walifanya hvyo bila kujali kwamba hao trained millitants watafanya nini baada ya kuwaondoa hao wa rusi. Na ukweli kama tuuonavyo kuna makundi mengi ya kigaidi uarabuni.
Kuachana nahilo, conflicts nyingi kama zile za arab spring zipo sparkled na US via C.I.A. hawawezi kutumia uniform strategy maeneo yote na they act intelligently tho kuna some loop holes ambapo information zinalick.
I dont intend kusound paranoid but the more you dig in the more unavyoona how the westerns particulary US are willing to do anything to stay on top.
Kuna ile case ya ugonjwa syphillis kipindi cha miaka ya 1970s kama sikosei ambayo nayo waliplot uangamize waafrika kwa miaka 20, lakini kunadaktari wao mmoja alilikisha siri kuwa waliagizwa kuto kutoa real treatment na where possible kusambaza maambukizi. Haya machache yalijulikana, ni mangapi ambayo yanaendelea kwa chini?
Sikatai, yes our corrupt leaders are partly to blame for not taking prompt measures to contain such diseases, but for a long time tunakua tunajitahidi ku treat symptoms instead of dealing the underlying causes.