Hivi UKIMWI na Ebola, sio biological weapons?

Hivi UKIMWI na Ebola, sio biological weapons?

kama tutasema ni mpango wa new worl order.... hawaoni kwamba silah walizo anza nazo zinaweza kuwauwa wenyewe . ?
then mbona HIV ipo kitambo na juhud kibao za kuutib zinafanyika...?
what im blvn wakiamua kuua ni. kitendo cha dk 3tu zinatosha.....

Collateral damage
 
Hapana, shida ni wewe ulikuwa allover the map, nami nilikuwa na focus na Africa, but its good umepata point yangu.
 
Mimi nadhani hii ni njia moja wapo ya New World Order inavyooperate na ni njia Moja ya kuimplement kuelekea kwenye kuisimamisha serikali moja.
Basind on Creating a Problem, reaction and solution; Hawa jamaa wanatengeneza tatizo mfano magonjwa, vikundi via Kigaidi au vikundi vyovyote vile ambavyo viko opposite na serikali ya nchi wanayotaka kuweka utawala wao aiming at creating a political instability then wanavisapoti hivyo vikundi na kwa Msaada wa media zao wanapromote ili kuwaaminisha watu Kuwa hizo serikali zimeshindwa kutatua tatizo na pasipo wao kuingilia kati either by military intervention au kupeleka msaada wa madaktari kwa mwamvuli wa umoja wa mataifa au nchi yoyote kubwa especially USA au Britain bila kuisahau France hali katika eneo husika haita tengamaa( reaction). Baada ya kuingia katika eneo husika wanatengeneza mazingira ya kuonesha Kuwa wanapata taabu na kutumia all resources in their disposals kueliminate Hilo tatizo no matter how long it will take, but at the end of the day wanafanikiwa kutatua hilo tatizo( Solution) na kumweka kiongozi wamtakaye kwaajili ya kulinda na kusimamia mipango Yao katika eneo husika.
tutapiga kelele na kubishana hapa ila hiyo ndiyo Hali halisi. Tujue kuwa New World Order imeshaanza kufanya kazi kuelekea kusimamisha serikali moja, pesa moja, bunge moja, gender equality an mengineyo mwisho kabisa kuitambulisha rasmi DINI moja dunia nzima( New Age Movement One World Religion).
Thanks
 
Na Neno la Mungu kutimia Kuwa "atatokea Anti Christ na Wengi watamfuata na kumwamini na kuwekwa Alama maalumu ya imwakilishayo huyo Beast wamuabudio. Na wale wote wasiokuwa na hiyo alama watapitia mateso makubwa na kuangamizwa kwa mkono wa Huyo mpinga Kristo. Ndipo mwanakondoo wa Mungu yaani Yesu Kristo atakaposhuka na hapo ndio utakuwa mwisho wa ulimwengu. Itachukua vizazi kwa vizazi hadi kufikia hiyo hatua so we better prepare ourselves for the final judgement because the world is at hand na roho itakapouacha mwili wako tu, jua kuwa there will be no time to repent rather than waiting for his coming kuwahukumu wazima na wafu. Thanks
 
kama tutasema ni mpango wa new worl order.... hawaoni kwamba silah walizo anza nazo zinaweza kuwauwa wenyewe . ?
then mbona HIV ipo kitambo na juhud kibao za kuutib zinafanyika...?
what im blvn wakiamua kuua ni. kitendo cha dk 3tu zinatosha.....
Mkuu lazima uaminishwe kuwa Hilo in janga na hata wao linawafikia though sio kwa extent kubwa kama eneo ambalo wamelitarget. Things have been planned for a long time ago and take place slowly by processes. Hivi wasipoonesha kuwa wao pia ni waathirika na haya majanga, watatuaminishije kuwa these things have not been created by themselves? Few must be sacrificed in order to success their plan
 
Mkuu naomba kutofautiana na wewe kuhusu swala la HIV,. Hivi huku Africa kusini mwa jangwa la sahara ndo tunafanya ngono isiyo salama kuliko eneo lingine lolote duniani? Hivi kwanini ukimwi usisambae katka mabara mengine? Hapa kuna kitu kinafichwa tu. Kuhusu utafiti juu ya ukimwi., sisi huku tunawategemea wazungu watuwezeshe kifedha. Sasa wakiona tunakaribia kugundua ukwrli unafikiri wataendelea kutupa misaada? Pia kwa maoni yangu swala la ukimwi lina maslahi na watu wa magharibi na kamwe hawataruhusu Africa ijue ukweli kuhusu ugonjwa huo, watabaki wao ndo wanafanya tafiti na kutuleta madawa na taarifa kuhusu ugonjwa huu
Kaka! ! You have nailed it kiasi ambacho hata zuzu atakuelewa, kweli kuna watu wanapendelea kudhihaki western media kwa sababu wanazo zijua wenyewe, ni kweli wakati mwingine media hizo huwa zinaripoti kwa maslahi yao, lakini si muda wote,
Mwaka 1996 Cnn walikua wa kwanza kutoa na kurusha live habari ya Mv Bukoba walikuwa na maslah gani katika ajali ile ?mwaka jana tulishuhudia live coverage ya shujaa mandela, kutoka Bbc, Cnn etc,.
Binafsi napenda sana habari, nina karibia news source za karibi kila pande.ya huu ulimwengu ,Kuanzia hizo western, aljazeera, iran na russia tv, katika suala hili la ebola sijaona likizungumziwa kama janga la sehemu moja, hizo media za afrika.magharibi naangalia pia zinachofanya ni kulalamika tu,

Hapo kwenye stastitics na utafiti ndio kabisa tumeshindwa, kama kweli walitengeneza Aids na Ebola, kulikuwa na haja gani wao mosi kutuambia, pili kufanya jitihada za ku contain kwa Arvs and the like, au labda sifahamu nijuzwe kuna taasisi au shirika lolote la afrika lililobadilisha chochote kuhusiana na magonjwa hayo,? Tumefikia wapi na tafiti zetu? Ina maana magharibi wana hila hadi.kwenye utashi wetu wenyewe. Mikoa iliyoongoza kwa maambukizi ya ukimwi kagera na sasa iringa, kwa kiasi.kikubwa ilichangiwa na wanaume kutofanyiwa tohara , leo hii kuna kampeni ya tohara ya bure tena kwa watu wazima, tulikuwa na ujanja wa kulitambua hilo kwa tafiti zetu? ,vipi kama tusingeambiwa?
Hizo hizo.media zinazobezwa, leo hii ndo zinakuja na fact kuwa hata huko marekani , kuna maambukizi ya ebola, na kweli tunashuhudia juhudi zinafanywa ili kuncontain maambukizi kwa kupeleka madaktari, na kuzuia connection zote za usafiri kwenda west africa ili lisije kuwa janga la dunia, kama kweli wa magharibi wana hila hapa ndo ulikuwa wakati muafaka wa kukaa kimya , wakituangalia tunavyopukutika na ebola.
 
Mkuu naomba kutofautiana na wewe kuhusu swala la HIV,. Hivi huku Africa kusini mwa jangwa la sahara ndo tunafanya ngono isiyo salama kuliko eneo lingine lolote duniani? Hivi kwanini ukimwi usisambae katka mabara mengine? Hapa kuna kitu kinafichwa tu. Kuhusu utafiti juu ya ukimwi., sisi huku tunawategemea wazungu watuwezeshe kifedha. Sasa wakiona tunakaribia kugundua ukwrli unafikiri wataendelea kutupa misaada? Pia kwa maoni yangu swala la ukimwi lina maslahi na watu wa magharibi na kamwe hawataruhusu Africa ijue ukweli kuhusu ugonjwa huo, watabaki wao ndo wanafanya tafiti na kutuleta madawa na taarifa kuhusu ugonjwa huu


Sijafahamu exposure yako ikoje kuhusiana na hili bara, sio kila ngono inaleta maambukizi, ni style za ngono , kuna kauli mbiu inatumika hapa kwetu, ngono zembe na ngono salama, just to make point,

Hebu jiulize ushenzi unaofanyika jumlisha na population ya hapo dar, pamoja na mikoa mingine ya pwani, ungetegemea.maambukuzi makubwa yangekuwa mikoa hiyo, lakini takwimu zinasema maambukizi makubwa yapo mkoa wa njombe, fact ni kuwa hapo inawezekana dar watu wanafanya sana, ngono lakini salama and vice versa is also true.

Kama umewahi kufika Botswana, utakubaliana nami kuwa the further south you go the worse kwa maambukizi, ina tokana na ukweli kuwa watu wanafanya sana ngono zembe au ngono hatarishi .
 
Mkuu unataka kusema kwamba nchi za ulaya wao hawafanyi ngono ambayo sio salama? Je ni kwann nchi za kiafrika tu tena kusini mwa jangwa la sahara ziwe ndo zimeathirika zaidi?, we huona kama kuna kitu kimejificha nyuma ya huu ugonjwa?
Sijafahamu exposure yako ikoje kuhusiana na hili bara, sio kila ngono inaleta maambukizi, ni style za ngono , kuna kauli mbiu inatumika hapa kwetu, ngono zembe na ngono salama, just to make point,

Hebu jiulize ushenzi unaofanyika jumlisha na population ya hapo dar, pamoja na mikoa mingine ya pwani, ungetegemea.maambukuzi makubwa yangekuwa mikoa hiyo, lakini takwimu zinasema maambukizi makubwa yapo mkoa wa njombe, fact ni kuwa hapo inawezekana dar watu wanafanya sana, ngono lakini salama and vice versa is also true.

Kama umewahi kufika Botswana, utakubaliana nami kuwa the further south you go the worse kwa maambukizi, ina tokana na ukweli kuwa watu wanafanya sana ngono zembe au ngono hatarishi .
 
Mkuu unataka kusema kwamba nchi za ulaya wao hawafanyi ngono ambayo sio salama? Je ni kwann nchi za kiafrika tu tena kusini mwa jangwa la sahara ziwe ndo zimeathirika zaidi?, we huona kama kuna kitu kimejificha nyuma ya huu ugonjwa?

Sijawahi kukaa wala kufika ulaya, siwezi kukusemea huko, lakini ka experience kangu ni kuwa Ukimwi . Unahusishwa na vitu vingi sana, kimojawapo ni umaskini, Rate ya mwathirika wa ukimwi kuambukiza watu katika developed countries ni ndogo kuliko developing countries,
Hujawahi kusikia wanafunzi wanafanya umalaya kwa ajili ya lunch?
 
Mkuu naomba kutofautiana na wewe kuhusu swala la HIV,. Hivi huku Africa kusini mwa jangwa la sahara ndo tunafanya ngono isiyo salama kuliko eneo lingine lolote duniani? Hivi kwanini ukimwi usisambae katka mabara mengine? Hapa kuna kitu kinafichwa tu. Kuhusu utafiti juu ya ukimwi., sisi huku tunawategemea wazungu watuwezeshe kifedha. Sasa wakiona tunakaribia kugundua ukwrli unafikiri wataendelea kutupa misaada? Pia kwa maoni yangu swala la ukimwi lina maslahi na watu wa magharibi na kamwe hawataruhusu Africa ijue ukweli kuhusu ugonjwa huo, watabaki wao ndo wanafanya tafiti na kutuleta madawa na taarifa kuhusu ugonjwa huu

In deed!
Baba angu ni dr mstaafu...
Sasa kuna mtu mmoja hivi ni dr kutoka hospital moja hivi hapahapa nchini (sitaji jina kwa sababu za kiusalama)huyu dr alikuwa anafanya utafiti kwa muda mrefu tu na inasemekana amegundua dawa ya ukimwi na alipojulikana tu na taarifa kufika serikalini walitaka kumpoteza!
Nilijiuliza maswali mengi, why?hivi si ndo Ilitakiwa atangazwe huyu shujaa?....
Bt hamuwezi amini maisha anayoishi mpaka leo ya mafichoni km sio mtanzania.....sasa kutokana na huu mjadala nimeanza kuelewa kitu
 
Sijawahi kukaa wala kufika ulaya, siwezi kukusemea huko, lakini ka experience kangu ni kuwa Ukimwi . Unahusishwa na vitu vingi sana, kimojawapo ni umaskini, Rate ya mwathirika wa ukimwi kuambukiza watu katika developed countries ni ndogo kuliko developing countries,
Hujawahi kusikia wanafunzi wanafanya umalaya kwa ajili ya lunch?
Wakuu embu naomba mpitie hii https://www.jamiiforums.com/jamii-i...t-charles-gallo-the-man-who-created-aids.html nadhani mtapata majibu ya maswali yenu.
Cc; mathewa, christine ibrahim
 
Adui mkubwa wa marekani na maswaiba zake ni muarabu... kama ni kweli haya magonjwa yalitengenezwa ili kupunguza population zinazowakera wazungu, waarabu wangekuwa ni watu wa kwanza kuangamia na kupotezwa....

Inawezekana kweli kuwa haya magonjwa ni man made , Sikubaliani tu ,na idea kuwa Hiv na Ebola ililengwa kuangamiza waafrika. To them wako safe zaidi na sisi kuliko waarabu.
Hili ni janga, yanayotokea baada ya Ebola kulipuka, yanadhihirisha jinsi gani corrupt african leaders walivyo waacha wananchi wao, katika lindi kubwa la umasikini, huduma mbovu za afya, na miundo mbinu mibovu, kiasi kwamba outbreak yoyote ikitokea inakuwa ngumu kui contain.
Inasikitisha sana bado tunadumisha utaratibu wa kulaumu mtu mwingine kabisa katika matatizo yanayotusibu wenyewe.

Mkuu nakupinga kama ifuatavyo, USA rafiki wake mkubwa ni mwarabu, kwanini?
Nchi za kiarabu ndio nchi tajiri zaidi duniani kutokana vyanzo vya mafuta. Mfano Qatar revenue yake ni kubwa kuliko expendature. Pia tunafahamu kwa ulimwengu wa sasa ukiwa na pesa unaweza kufanya almost everything, USA anachokifanya ni kuwapumbaza waarabu kwakuwaonesha pesa ni muhimu kuliko elimu ndio maana hawana maarifa yakujitawala. Marekani ana military base katika nchi nyingi za kiarabu na kuwapa protection na technology(nchi za kiarabu ni nchi zenye technology ya hali ya juu) in return wanachukua mafuta. Na ukiona nchi zenye vita ujue hawakubalian na propaganda za marekani. Kwakifupi marekani na waarabu wanategemeana.
 
Ndugu, we don't point fingers for no reason. Kwanza tambua hizi information zinaleak kutoka kwenye sources zao wenyewe, wala si za hapa Africa.
Ambition ya westerners sio tu kuattack maadui wake tu, bali kupunguza world population ili kurahisisha/kurudisha utawala wao wa dunia kama ilipokua kipindi cha ukoloni (or worse). Population ya nchi za magharibi ina-dwindle kutokana na masuala ya birth control, hvyo wanahofia kua ongezeko la population else where ina threaten their hegemonic existence. China inakuja juu kiuchumi na according to recent statistics kutoka imf, now china ndio leading economy interms of purchasing power parity na hili limewezekana kutokana na wao kua na idadi kubwa ya watu. Hali hii ikiendelea itawafanya watu wamagharibi wategemee dunia interms of man power.
Njia zao za kufanikisha hili zipo divesified, kama unakumbuka kuna mama mmoja wa wfp aliamua kusema ukweli kwamba the organization ime plot kupunguza more than half of the world population kwa namna mbili: watu wa tabaka la chini kupitia magonjwa na watu wa tabaka la kati kupitia life styles (chakula, maji etc).
Waarabu wanamalizana kwa vita. Kama ulisoma course/history inayohusu masuala ya terrorism utakuja kujua kuwa makundi ya kigaidi yalitengenezwa na wamarekani, kwa ushahidi zaidi cheki youtube hillary clinton ameliweka wazi kabisa. Kwamba kipindi cha vita baridi, waliwatrain watu (including bin laden)wa al qaeda na kuwapa silaha ili wawaondoe wa rusia, walifanya hvyo bila kujali kwamba hao trained millitants watafanya nini baada ya kuwaondoa hao wa rusi. Na ukweli kama tuuonavyo kuna makundi mengi ya kigaidi uarabuni.
Kuachana nahilo, conflicts nyingi kama zile za arab spring zipo sparkled na US via C.I.A. hawawezi kutumia uniform strategy maeneo yote na they act intelligently tho kuna some loop holes ambapo information zinalick.
I dont intend kusound paranoid but the more you dig in the more unavyoona how the westerns particulary US are willing to do anything to stay on top.
Kuna ile case ya ugonjwa syphillis kipindi cha miaka ya 1970s kama sikosei ambayo nayo waliplot uangamize waafrika kwa miaka 20, lakini kunadaktari wao mmoja alilikisha siri kuwa waliagizwa kuto kutoa real treatment na where possible kusambaza maambukizi. Haya machache yalijulikana, ni mangapi ambayo yanaendelea kwa chini?
Sikatai, yes our corrupt leaders are partly to blame for not taking prompt measures to contain such diseases, but for a long time tunakua tunajitahidi ku treat symptoms instead of dealing the underlying causes.
............hata chanjo za juzi za rubela na mabusha nina wasiwasi nazo, (.......ofcourse wasiwasi ndo akili)
 
in fact,kwa wachangiaji mada wa apo awali wamecema vyote
 
Back
Top Bottom